The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #41
Hivi haya mafuta bado yapo kweli au na kiwanda kiliishakufa....lolKitu cha yolanda...lol!! Na yale mafuta ya YU unayakumbuka?
Hivi haya mafuta bado yapo kweli au na kiwanda kiliishakufa....lolKitu cha yolanda...lol!! Na yale mafuta ya YU unayakumbuka?
Mitihani ya chekechea ya ABCD sidhani kama watu walikuwa wanshindwa....hahaUlianza kuchakachua loongi hadi mitihani ya chekechea!
Kitu cha yolanda...lol!! Na yale mafuta ya YU unayakumbuka?
Hivi haya mafuta bado yapo kweli au na kiwanda kiliishakufa....lol
Nichukulie hapo kwa Mangi ninukie kwenye sikukuuhapa kwa mangi nayaona yapo
kuna mengine yalikuwa yanaitwa Roxy yalikuwa yanatoka Kenya ilikuwa ni kulangua tu.
suruali nyeupe? lol
Anaishi uzunguni, siyo kama kule kwenu penye mivumbi kibao!!suruali nyeupe? lol
White snow....lolsuruali nyeupe? lol
Unajua kabisa nimemnunulia nini...lolNa wewe umemnunulia nini eti??
Unanionea gere wewe mwaka huu haujanunuliwa nguo umekuwa wa 30 darasani
Oohh!!! Yes Definitely...Alafu ina wavaaji wake.... Sio kila mwanaume aweza vaa hio... Lazima uwe qualified in that sector or else disaster! lol
Hahahaha!! BujibujiMi sijawa wa 30, nimekuwa wa pili. Ndio unashangaa nini? Nimekuwa wa pili kutoka mwisho
Siwezi kumzidi mshikaji...yule funika bovu...:lol:Sharobaro!!!
Oohh!!! Yes Definitely...
Lol....Kongosho banaaaTarehe 25 lazima nikuone, afu ndo nijue kama sekta inaitwa oooh yesss!!!
hii inanikumbusha mtt wa jamaa yangu mmoja, alikuwa wa 100 darasani wacha afurahi, eti 100 ni kubwa inanununua pipi akawa anamshangaa alieshika nafasi ya kwanza halafu anafurahi wkt ni ndogo hainunui kitu.Mi sijawa wa 30, nimekuwa wa pili. Ndio unashangaa nini? Nimekuwa wa pili kutoka mwisho