MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Mimi mwaka mzima nimekuwa mtoto mbaya. Nimeshaambiwa zawadi/adhabu yangu nitapewa kipolo cha mkaa.Aisee!! Mkuu bado wewe haujaletewe mchel mchele na mokasini
Mimi mwaka mzima nimekuwa mtoto mbaya. Nimeshaambiwa zawadi/adhabu yangu nitapewa kipolo cha mkaa.Aisee!! Mkuu bado wewe haujaletewe mchel mchele na mokasini
Ameshatangaza msimamo wake kuwa hakuna nguo ya sikukuu
Wala pilau halitalika wala hakuna soda siku ya sikukuu
Watu watagula ugali wa mhogo
Nyie watukutu sana ndio maana au mzee alikuwa anakugua mitihani yenu ya Kiingereza na Hesabu...:lol:Mimi mwaka mzima nimekuwa mtoto mbaya. Nimeshaambiwa zawadi/adhabu yangu nitapewa kipolo cha mkaa.
baba kagoma kabisa ila mama kasema akipokea ela yake ya mchezo ataninunulia
Hahahaha!! Wewe kiboko kwahiyo ulivaa kisha ukarudisha kwenye sanduku hadi leo zitakuwa bado zinanukia ule upya wake...:lol:mi nazindua kitu changu kutoka sandukuni. Niliivaa sikukuu iliyopita, sijazivaa tena mpaka tena kwenye sikuu hii ndio nazitinga!
Mama si nasikia anacheza mchezo hebu ongea naeUnantutamanisha bana .......... sie ambao hatujanunuliwa, serikali imechelewesha mishahara, sasa itakula kwetu!!!!!!!!
:lol::lol:baba kagoma kabisa ila mama kasema akipokea ela yake ya mchezo ataninunulia
zinanukia yale mawe ya mende!! inabidi nitafute cobra ya kurectify situationHahahaha!! Wewe kiboko kwahiyo ulivaa kisha ukarudisha kwenye sanduku hadi leo zitakuwa bado zinanukia ule upya wake...:lol:
:lol::lol::lol:...umenikumbusha kitambo kweli..hakyanani nimecheka kweli wee Rejao banaazinanukia yale mawe ya mende!! inabidi nitafute cobra ya kurectify situation
Ameshatangaza msimamo wake kuwa hakuna nguo ya sikukuu
Wala pilau halitalika wala hakuna soda siku ya sikukuu
Watu watagula ugali wa mhogo
Unanionea gere wewe mwaka huu haujanunuliwa nguo umekuwa wa 30 darasaniNguo zako mbayaaaa hazina maua maua
Hivi ile mitihani ya tuisheni kwani ulikuwa unaiweka wapi muonyeshe ile fasta
mi nazindua kitu changu kutoka sandukuni. Niliivaa sikukuu iliyopita, sijazivaa tena mpaka tena kwenye sikuu hii ndio nazitinga!
zinanukia yale mawe ya mende!! inabidi nitafute cobra ya kurectify situation
Kitu cha yolanda...lol!! Na yale mafuta ya YU unayakumbuka?Simla au yolanda zitafaa