The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
Habari ndiyo hiyo.
Na rais wenyu anajiita Dokta. Msomi wa Uchumi, UDSM.
Aibu gani?
Tunakoelekea hata wauza karanga na wachoma mahindi wataanza kuuza kwa dola.
Tunaacha haya yanapita; kisa tunaogopa kufa. Sijui nani ataishi milele!
Na rais wenyu anajiita Dokta. Msomi wa Uchumi, UDSM.
Aibu gani?
Tunakoelekea hata wauza karanga na wachoma mahindi wataanza kuuza kwa dola.
Tunaacha haya yanapita; kisa tunaogopa kufa. Sijui nani ataishi milele!