themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Miezi sita iliyopita nilikuwa nikifanya matangazo ya online, nilikuwa nikikatwa shilingi 2550 kwenye matercard ya vodacom kwa dola moja
Le siamini Dola moja inakatwa zaidi ya sh 3100 kwa ajili ya kulipia mambo mbali mbali mtandaoni hasa sisi tunaotafuta ugali wetu kupitia mitandao nimechoka aisee
Le siamini Dola moja inakatwa zaidi ya sh 3100 kwa ajili ya kulipia mambo mbali mbali mtandaoni hasa sisi tunaotafuta ugali wetu kupitia mitandao nimechoka aisee