Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

We ndio una uchungu sana na uislam? Labda kama we ni mwarabu hapo sawa, ila kama we ni mmatumbi ujue unatetea kitu usichokijua. Uislam una wenyewe, sio wewe mmatumbi wa madongokuinama
Mzee kausome uislam vizuri kisha rudi hapa na kama una bisha lete aya zako namm nilete zangu tuone ukwel upo wap
 
Asante mkuu lakn angalau wamejua wasije sema hatukuwaambia
 
Wa kwanza ni wa kwanza tu.
Heshima iwepo.

Wakristo hatuna shida na Waislam.
Na tunawaheshimu.

Shida na chokochoko huwa wanaanza wao kwa kuona Wakristo wamepotea.

Na kwamba wao ndio dini sahihi.
Kitu ambacho sio kweli na hakuna mkristo atakubali.

Ni kweli kama ulivyosema.
Busara ni wao wanyamaze .
Na Hakutakuwa na nywi nywi nywi.
 
Wakristo Wana chuki kubwa na uislam,,hata mada nyingi humu ni za kuuponda uislam,kero yao kubwa ni kwanini wanawake wa kiislam wanajiifadhi kimavazi, na kwanini waruhusiwe kuoa mke zaidi ya mmoja, wanatamani wanawake wa kiislam watembee uchi Hadi msikitini kama wafanyavyo wanawake wa kikristo kwenda uchi kwenye Ibada,
Na pia wanaume wa kiislam wawe na vimada kuliko kuwa na wake wa ndoa......hii dini ya mazuzu !unakuta jitu Lina elimu linatapeliwa na kina kuhani Musso,au na mwampesa
 
Papa amesema Machoko kwa yesu watapata mabwana 72
Iv we unaesema yesu unamjua wewe au unabwabwaja tu mzee msome huyo unaesema ndo mungu wako yesu vzr kisha ukuje kwanza ye mwenyew atawakataa siku ya hukumu atasema walianzisha haya mambo nikiwa tyr nmeondoka dunian pia mjue atarudi kwaiyo akirud atawakataa kuanzia hapa dunian ila nna wasiwasi kipindi hiicho hutokuwepo mzee pili mnajingamba sana kuhusu yesu ye mwnyw kasema kuwa alikuja kwa ajili ya wana wa Israel 🇮🇱 tu sasa niambie ww Israel unaijua hata kwa sura😅 au ndo ivo kujipendekeza hahaha haya bhan ila usiwe utan we ni mtu mzima bila shaka eb kaufuate uislam uuusome na usome huo ukrist wako afu kaa pembeni jiangalie linganisha uone ukwel upo wap kisha urudi hapa nikusilimishe
 
Sahihi akhy yan unakuta jitu lina hadi degree ila linadanganywa na lenyewe linatiii tu ujinga ulioje huu
 
Asante mkuu lakn angalau wamejua wasije sema hatukuwaambia

Amesema atafunga mada na matusi 😂😂😂😂.

Naona ndio dhamira yake.
Matusi. Hakuna zaid ya hilo.
Maana Hakuna hoja .

Hatujibi matusi.

Ukibishana na kichaa. Watu watadhan mko vichaa wawili.

Ukijibizana na Mpumbavu . Watu watadhan mko wapumbavu wawili.

Ndio maana anapuuzwa.
 
Mkuu unawezaje kusema unafuata uongozi wa magufuli wakati saiv kuna samia elewa mada mkuuu
 

Mkristo kupotea ww ina kuuma nini?.

Ww huujui Uislam.
Umekariri kwa juu juu.

Dini yenu imeikuta Ukristo.
Acha iwe hivyo. Usiforce kufanana wala kujinasaba na wakristo. Waache.
 
Tabia. Mbaya za waarabu zimefanya tuuchukie uislamu
 
Tofautisha kati ya chuki na spana,nyie vipedo zamani zile mlikua mnajifanya wajanja sana kuandaa vimihadhara na maandiko uchwara ya matusi kwa ukristo na wakristo wakawa wapole tu,naona sasa kibao kimegeuka Wakristo wameamka na kuisoma Quran na kugundua ni kichekesho ndio maana saa hizi mnalia lia maana spana mnazopigwa ni VIP na hamna hoja za kujibu zaidi ya kujihami na vitisho uchwara!
😁😁
 
Mkristo kupotea ww ina kuuma nini?.

Ww huujui Uislam.
Umekariri kwa juu juu.

Dini yenu imeikuta Ukristo.
Acha iwe hivyo. Usiforce kufanana wala kujinasaba na wakristo. Waache.
Sjakataaa mkuu ila naomb nikwambie tu yesu mwenyw kasema

Injili ya Yohana 16:7–8
“Ni vema niondoke, kwa maana nisipoondoka Msaidizi hatakuja… naye atakuja na kuuhukumu ulimwengu.”

Injili ya Yohana 16:12–13
“Ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili sasa. Lakini huyo Roho wa kweli atakapokuja, atawaongoza katika kweli yote.”

Qur’an 5:3

“Leo nimewakamilishieni dini yenu, na nimewatimizieni neema Yangu, na nimeridhia Uislamu uwe dini yenu.” sasa naomba naww hoja zako kwa aya ili twende sawaa
 
Spana gani mkuu lete mezani tuchambue tuache maneno
 
Tabia. Mbaya za waarabu zimefanya tuuchukie uislamu
Samaki 1 akioza unamtoa mzee pili unavosema waarabu wamefany uuchukie uislam hao ni watu tu zingatia tu kitabu cha Mungu kinasema vipi na je unayofanya katka jamii yako ni sahihi kwa sbb mabadiliko yanaanzia kwa mtu mmojammoja
 

Dah!

Kwahiyo Mohamed ndio hiyo Roho?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…