Dokezo kuhusu Dini ya Uislam


Wewe nadhani unaishi kwenye Ulimwengu wa giza, ulimwengu wa shetani unazungumza mambo kinyume.

Jielimishe, uujue ukweli:

1. Kuna idadi kubwa ya waislam wanaobadilika kuwa Wakristo kuliko wakristo wanaobadilika kuwa waislam.

Idadi ya waislam inaongezeka kwa sababu ya kuzaliana hovyo, siyo kwa sababu ya watu wa dini nyingine kubadilika na kuwa waislam. Soma hapa upunguze ujinga:

Utafiti iliofanywa na mtafiti wa Kichina Xin Ziaoweng, ni kwamba kwa wastani, kila mwaka waislam kati ya milioni 15 na 16 Duniani kote wanabadili dini na kuwa Wakristo:

Xin Xiaoweng
I just did a thorough research on the phenomenon of Muslims converting to Christianity in Large numbers around the world. Through my research i just found out that 15 - 16 MILLION MUSLIMS CONVERT TO CHRISTIANITY AROUND THE WORLD EVERY YEAR. For PROOF/EVIDENCE OF THIS CLAIM, Please do check out the link that i have posted below.
 
🤣🤣bora ungenyamaza kwa izo taarifa zako maana hata wenzako watakucheka kwa upupu huu
 
How many Muslims convert to Christianity every day?


One of the most widely cited claims comes from Sheikh Ahmad Al Qataani, a prominent Muslim leader. In a televised interview on Al-Jazeera in 2001, he stated that every hour, 667 Muslims convert to Christianity. That adds up to 16,000 per day, or approximately 6 million per year—in Africa alone.May 13, 2025
 
Why are so many Muslims converting to Christianity?


AI Overview

Muslims convert to Christianity for various spiritual and personal reasons, including powerful dreams or visions of Jesus, dissatisfaction with aspects of Islam like perceived legalism or extremism, attraction to the Christian message of unconditional love and grace, personal encounters with loving Christians, and finding compelling truth in the Bible, often seeking a more personal relationship with God despite the risks of persecution or family rejection.
 
Sema ngoja ninyamaze maana ukibishana na mjinga nawe unaonekana ni mjinga ngoja nikwmbie tu mifumo yote inaongozwa na wakrist sa tangu lini data zitakuwa sahihi??, kingine umeshindwa kwenye mada ndo ukaamua kuamia uku tubishane kwa hoja
 

Umeandika ,

Madai ya Waislamu milioni 15–16 kubadilika kila mwaka hayana ushahidi wa kitaaluma.

Majibu :

Hakuna tafiti zinazotambulika wala uthibitisho wa huyo “Xin Xiaoweng”. Tafadhali lete chanzo cha kuaminika.



Jibu hapa kwanza usikimbie;

Nukuu za Yesu zinazothibitisha kwamba alidanganya: Otherwise Tuone TEC isiandike matamko .

Au Omba leo CCM ife tuone



  1. Yesu akajibu akawaambia, “Amin, nawaambia, ikiwa mna imani wala hamna shaka, hamtafanya tu jambo lililofanywa kwa mtini, bali hata mkiliambia mlima huu, ‘Ng’olewa ukatupwe baharini,’ litafanyika. Nanyi mkiomba lolote kwa sala, mkiamini, mtalipokea.” (Mathayo 21:21–22 NAS)
  2. Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa. Kwa maana kila aombaye hupokea; atafutaye hupata; naye abishaye hufunguliwa. (Mathayo 7:7–8 NAB)
  3. Tena nawaambia, ikiwa wawili wenu wakipatana duniani katika jambo lolote watakaloomba, watatendewa na Baba yangu aliye mbinguni. Kwa maana walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo hapo katikati yao. (Mathayo 18:19–20 NAS)
  4. Amin, nawaambia, mtu yeyote akiuambia mlima huu, ‘Inuliwa ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba analosema litatokea, litamtendekea. Kwa hiyo nawaambia, yote mnayoomba katika sala, aminini kwamba mmepokea, nayo yatakuwa yenu. (Marko 11:24–25 NAB)
  5. Nami nawaambia, ombeni nanyi mtapokea; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa. Kwa maana kila aombaye hupokea; atafutaye hupata; naye abishaye hufunguliwa. (Luka 11:9–13 NAB)
  6. Na chochote mtakachoomba kwa jina langu, nitafanya, ili Baba atukuzwe katika Mwana. Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitafanya. (Yohana 14:13–14 NAB)
  7. Mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lo lote mtakalo nanyi mtatendewa. (Yohana 15:7 NAB)
  8. Si ninyi mlionichagua mimi, bali mimi niliwachagua ninyi na kuwaweka mpate
 
Anakuja anasema waislam million 16 sjui anatuchukuliaje 😂
 
Yaani wewe umeweka kinyume kabisa😄
 
Anakuja anasema waislam million 16 sjui anatuchukuliaje 😂

Yaani wewe umeweka kinyume kabisa😄
Kabisa😅 ila wanajua sema tu ndo ivo wengine ulaji hawana namna wengine ni kondoo 😅
 
Hayo madude ya mpinga Kristo hamna namna ya kuyazuia hadi siku ya kiama ndio mtahukumiwa, yaani freemason, Illuminati, uislamu na mengine yote, mna siku yenu
adriz zitto junior MOTOCHINI
 
😃😃😃

Haya maneno ameyaandika mtu anaempigania Allah a k.a Mungu

Mimi Huwa nasema dini ni CULT imejaza watumwa wa fikra Ambao ni wagonjwa wa akili
 
Waislamu bana ni wapumbavu kiwango cha k*esi! Mtu kakuonyesha mpaka source ya research bado tu unabisha
Hamatan
Umeandika ,

Madai ya Waislamu milioni 15–16 kubadilika kila mwaka hayana ushahidi wa kitaaluma.

Majibu :

Hakuna tafiti zinazotambulika wala uthibitisho wa huyo “Xin Xiaoweng”. Tafadhali lete chanzo cha kuaminika.



Jibu hapa kwanza usikimbie;

Nukuu za Yesu zinazothibitisha kwamba alidanganya: Otherwise Tuone TEC isiandike matamko .

Au Omba leo CCM ife tuone



  1. Yesu akajibu akawaambia, “Amin, nawaambia, ikiwa mna imani wala hamna shaka, hamtafanya tu jambo lililofanywa kwa mtini, bali hata mkiliambia mlima huu, ‘Ng’olewa ukatupwe baharini,’ litafanyika. Nanyi mkiomba lolote kwa sala, mkiamini, mtalipokea.” (Mathayo 21:21–22 NAS)
  2. Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa. Kwa maana kila aombaye hupokea; atafutaye hupata; naye abishaye hufunguliwa. (Mathayo 7:7–8 NAB)
  3. Tena nawaambia, ikiwa wawili wenu wakipatana duniani katika jambo lolote watakaloomba, watatendewa na Baba yangu aliye mbinguni. Kwa maana walipo wawili au watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo hapo katikati yao. (Mathayo 18:19–20 NAS)
  4. Amin, nawaambia, mtu yeyote akiuambia mlima huu, ‘Inuliwa ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba analosema litatokea, litamtendekea. Kwa hiyo nawaambia, yote mnayoomba katika sala, aminini kwamba mmepokea, nayo yatakuwa yenu. (Marko 11:24–25 NAB)
  5. Nami nawaambia, ombeni nanyi mtapokea; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa. Kwa maana kila aombaye hupokea; atafutaye hupata; naye abishaye hufunguliwa. (Luka 11:9–13 NAB)
  6. Na chochote mtakachoomba kwa jina langu, nitafanya, ili Baba atukuzwe katika Mwana. Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitafanya. (Yohana 14:13–14 NAB)
  7. Mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lo lote mtakalo nanyi mtatendewa. (Yohana 15:7 NAB)
  8. Si ninyi mlionichagua mimi, bali mimi niliwachagua ninyi na kuwaweka mpate
 
Hayo madude ya mpinga Kristo hamna namna ya kuyazuia hadi siku ya kiama ndio mtahukumiwa, yaani freemason, Illuminati, uislamu na mengine yote, mna siku yenu
adriz zitto junior MOTOCHINI
Una utoto mwingi sana, Mungu hana judgement za madhehebu. Wakristo tu kuna waabudu sanamu, kuna wanaosema jumapili ni dhambi maana wanaabudu jumamosi, kuna wengine wanasema pombe dhambi wengine ruksa, kuna wengine wanaamini roho mtakatifu wengine wanapinga kunena kwa lugha!!

Ni tafrani, sasa ukisema Mungu aangalie kama unavyotaka wewe unadhani ni dhehebu gani la wakristo litaenda mbinguni na lipi litabaki?
 

Sahih Muslim hadith namba 146 na 147 ni miongoni mwa hadithi ninazozipenda sana. Inasema kwamba katika siku za mwisho, Uislamu utajiondoa na kurudi nyuma, ukijificha kama nyoka anavyotambaa kurudi pangoni mwake.
Hadithi hiyo inasema kuwa Uislamu ulianza ukiwa jambo geni, na mwishoni utarudi kuwa jambo geni tena—ukijiondoa na kujificha—ukifananishwa na nyoka anayerejea katika tundu lake. 🌚



Nini maana ya hii hadith?
Ni kwamba kama vile nyoka anavyorudi shimoni mwake, Uislamu utatambaa na kurudi kabisa kwenye tundu ulipotoka huko Madina, Arabia.

Na nyoka anaporudi kwenye tundu lake, haachi mkia wake ukining’inia nje — huingia wote kabisa. Ndivyo ilivyo hii kurudi nyuma: hakuna mabaki, hakuna nyayo… unafifia na kutoweka kabisa. Hiyo ndiyo itakuwa hatma ya Uislam siku za mwisho📌

hamis77
Jagina
Che mittoga
adriz

 

Umekuwa expert wa hadithi? Afadhali umeziwacha biblia zako kwa maelfu zilizo tofauti unaanza kujifunza hadithi
 
Leo Ijumaa nenda kwenye msikiti wenu wa Ijumaa ukamuinamie Shetani wenu mwenye mikono yote yakulia
 
Aisee hii Hadith naichukua ,nimeipenda sana

Ubarikiwe ndio Raha ya elimu ,kila siku unapata kitu kipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…