Dogo wa miaka 19 aliyefungua biashara ya 75M+

Dogo wa miaka 19 aliyefungua biashara ya 75M+

Yupo vizuri and very smart Ila for now he can't inspire me, labda ya miaka 5 ya biashara atanishawishi
 
Kibongo Bongo Mbona kawaida sasa...

Wapo wengi sema hatuna jarida Kama Forbes Magazine kuanika vijana walioko chimbo wanatengeneza Fedha.

Personally nina Marafiki zangu kabisa wana project kubwa zaidi ya hiyo.

Mmoja na rafiki yangu wa muda mrefu..

Picha linaanza Tanzania One O-Level, Advance African Leadership Academy SA, Johannesburg Gauteng. University USA Akaacha 2nd Year Bachelor kaona anachelewa.

His first project initially capital was above $25,000.

Hapo ni miaka 7 iliyopita.

Wapo wengi hawa vijana hata mimi Binafsi naamini one day yes. Na ni swala linalowezekana!
 
Ndo ashatusua huyo home life lami kabisa ila ana akili ya maisha kama ni mtoto mwngne wa kishua hapo hilo ndinga ni la kubebea totoz na bata zingine kibao
Unadhani anapanda daladala? Hilo llikuwa ni zawadi ya birthday... maana yake ni kuwa tayari ana magari mengine. Stuka, think!
 
Kibongo Bongo Mbona kawaida sasa...

Wapo wengi sema hatuna jarida Kama Forbes Magazine kuanika vijana walioko chimbo wanatengeneza Fedha.

Personally nina Marafiki zangu kabisa wana project kubwa zaidi ya hiyo.

Mmoja na rafiki yangu wa muda mrefu..

Picha linaanza Tanzania One O-Level, Advance African Leadership Academy SA, Johannesburg Gauteng. University USA Akaacha 2nd Year Bachelor kaona anachelewa.

His first project initially capital was above $25,000.

Hapo ni miaka 7 iliyopita.

Wapo wengi hawa vijana hata mimi Binafsi naamini one day yes. Na ni swala linalowezekana!
Duuu million 50 initial mimi now nawaza 700K hapo najikaza hadi nawaza nitaishije
 
Kibongo Bongo Mbona kawaida sasa...

Wapo wengi sema hatuna jarida Kama Forbes Magazine kuanika vijana walioko chimbo wanatengeneza Fedha.

Personally nina Marafiki zangu kabisa wana project kubwa zaidi ya hiyo.

Mmoja na rafiki yangu wa muda mrefu..

Picha linaanza Tanzania One O-Level, Advance African Leadership Academy SA, Johannesburg Gauteng. University USA Akaacha 2nd Year Bachelor kaona anachelewa.

His first project initially capital was above $25,000.

Hapo ni miaka 7 iliyopita.

Wapo wengi hawa vijana hata mimi Binafsi naamini one day yes. Na ni swala linalowezekana!
Julius Shirima or??
 
Hii ni biashara ya wazazi.... Dogo amewekwa tu kama marketing strategies
 
Acha wivu kijana,pambana na maisha piga kazi. ONTARIO hana shida yeyote na mtu zaidi ya kuwamotivate vijana wenzake katika kupambana,zaidi jamaa alithubutu na ametusua.
#Fanya yako
Wazee wa forex njooni mumuone dogo anayefanya real business na sio yule ontario,hahah
 
Hakuna cha pongezi wala nini hapo,naona mnajipa promo tu.

Kama zawadi tu alipewa ni altezza sasa unategemea nini kama sio kufanyiwa kila kitu na hao wazazi wake

Huyo hana tofauti na Trump aliposema "when I finished college I asked my dad for a loan and he borrow me $200,0000,000/- sasa wewe unategemea nini maana mtu hata awe kichaa vipi hawezi kutoifanyia jambo iyo pesa

Acheni unafiki wenu wa kujidai kupeana promo, there a lot of people out there who started their business from zero to hero
 
Hakuna cha pongezi wala nini hapo,naona mnajipa promo tu.

Kama zawadi tu alipewa ni altezza sasa unategemea nini kama sio kufanyiwa kila kitu na hao wazazi wake

Huyo hana tofauti na Trump aliposema "when I finished college I asked my dad for a loan and he borrow me $200,0000,000/- sasa wewe unategemea nini maana mtu hata awe kichaa vipi hawezi kutoifanyia jambo iyo pesa

Acheni unafiki wenu wa kujidai kupeana promo, there a lot of people out there who started their business from zero to hero
Umesoma uzi wangu vizuri lakini mkuu??..jambo uliloliongea ndo hilo hilo nililoliongea..
 
Hili ni tangazo la hiyo biashara;Wazaz wake ni wabunifu sana wa marketing
 
Huyu dogo nafkir hakuchanganywa na mawazo alipata kila kitu alichohitaji, kazi zinazotukuta sisi wengine hua tuna wazo la kibiashara ila hatuna vyanzo vya mtaji, big up ndugu PENYE FUNGU NDIPO HUWENDAPO NYONGEZA.
 
Mara nyingi huwa hatupendi kuukubali ukweli wa jambo, ama kwa kujua au kwa kutokujua.

binafsi ninaamini biashara ni wazo na sio mtaji. zamani nilikuwa siamini hivyo, niliamini biashara ni mtaji, na ilinichukua miaka mingi sana hadi nilipogundua kuwa kumbe ninaidanganya akili yangu.

kwanini nasema biashara ni wazo na sio mtaji. wengi tunaolalamika mitaji, tuna mitaji lakini hatujui tuna mitaji.

unawaza biashara ya mtaji wa milioni 5 wakati huna uwezo wa kuipata milioni 5 halafu unasema una wazo la biashara. Wazo ambalo huna uwezo wa kulitekeleza sio wazo, unaidanganya akili yako mwenyewe.
huna uwezo wa kupata milioni 5 lakini unao uwezo wa kupata laki 5 na hauwazi biashara ya laki 5 ili uanze nayo na baada ya muda au miaka kadhaa ufike kwenye huo mtaji wa milioni 5 kwa kudhani utachelewa. Basi endelea kulalamika hadi utakaposhushiwa huo mtaji.

Hii naizungumza kwa uzoefu wangu binafsi. Nimekaa miaka mingi nalilia mtaji, na mawazo ya biashara za mitaji mikubwa nikijifariji ndio inayolipa. Kwa miaka mingi sana, siku moja nikawaza, hivi mimi kama mtumishi mwenye mshahara wa kima cha chini, mbona ninao uwezo wa kukopa milioni 2 kupitia mshahara wangu kwa ajili ya biashara? Maana ninaishia kukopa kununua kiwanja, nikimaliza marejesho nakopa kununua Flat screen na mengine, kwa nini nisiwaze biashara nilito na uwezo na mtaji wake?

najua wengine mtalipuka, bora una pa kukopa kupitia mshahara, ni kweli lakini hoja yangu ni kuwaza biashara ya mtaji ulio na uwezo nayo hata kama ni laki moja ya kuuza simu uliyopewa na mjomba.

leo, hatuna la kujifunza kwa dogo kwa kuwa tunasikia 75ml, tunaiwaza hiyo 75 bila kumkubali kwa kuwa na wazo hilo.
yeye aliuza gari ya zawadi, usiye na gari umeshauza simu uliyopewa ili uwe mtaji hata kama ni ya elfu 50?

tunalalama hajaanzia chini. Kwa taarifa yako, inawezekana kwa uwezo wa familia yake, huenda hiyo 75 ndo ameanzia chini hapo, alitamani hata kuanza na 250. Maana kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
hata humu tunapolalama mitaji, tukiulizana hapa, mwingine atasema ningepata 20ml, mwingind ningepata 5ml, mwingine ningepata 500k, mwingine 150k, n.k

tusiangalie 75m, tuangalie uthubutu kwa kila mmoja kwa uwezo wake katika mazingira aliyomo na kubadili mtizamo kwa kuanza na tulichonacho.

binafsi nampongeza dogo kwa wazo la biashara kwa kuanza na saving kwa alichokuwa nacho bila kujali kiasi cha mtaji.
 
Biashara ni mtaji and nothing else. Hayo ya idea tunadanganywa tu na ma motivational speakers
 
Back
Top Bottom