Dogo wa miaka 19 aliyefungua biashara ya 75M+

Dogo wa miaka 19 aliyefungua biashara ya 75M+

Huyu ni sawa na MO Dewji.

Wamepata shortcut ya maisha.

Ila jambo la kipekee kwao ni akili ya kuendeleza biashara na ubunifu.
Kwenye orodha hiyo pia mwekeni GSM! Ila yeye sijui alipataje haya mahela ya kununua bidhaa viwandani kwa jumla na na kuziuza kwa rejereja, yaani ULANGUZI! Labda ni zile za kodi aliyosamehewa na TRA , sijui!
 
Inawezekana, cha muhimu ni kuthubutu na kuwa na nidhamu ya fedha. Chukulia mfano,ukiingia club utakuta watu wanatumia hela nyingi kwa starehe, wangetumia hizo pesa kwa kutengeneza hata juisi wangefika mbali
 
Hapana geni hapo, Analazimisha aonekanwe kuwa nayeye amepambana. USikute hio biashra imeanza hajatoa hata buku 10 mfukoni, kalia lia kwa baba akafunguliwa hiyo biashara.
 
Back
Top Bottom