sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,727
- 11,109
Kuna dogo mmoja kiukweli ni muhuni ni level za ujambazi kabisa akitoka akirudi anarudi na simu kubwa nyingi kijiweni ni kuziuza tu elfu 50 ila hauzii mtu anaemjua ni wageni tu
Siku moja kijiweni walikuja maaskari wawili kumkamata alichomoa sime na panga akawaambia kama nyie wanaume kweli nifuateni
Hapo ndiyo niliona show zake live ni mtu mwenye mahesabu mengi mno very calculated kwa watu anaojuana nao hafanyagi kabisa ujinga ana shiriki shughuli zote za kijamii
Siku moja kijiweni walikuja maaskari wawili kumkamata alichomoa sime na panga akawaambia kama nyie wanaume kweli nifuateni
Hapo ndiyo niliona show zake live ni mtu mwenye mahesabu mengi mno very calculated kwa watu anaojuana nao hafanyagi kabisa ujinga ana shiriki shughuli zote za kijamii