unaishi wapi wewe hata usione watoto kibao wanatengeneza maboksi hayo, mi mwenyewe nimetengeneza sana hayo utotoni na haikua kipaji ni akili za kawaida tu kuangalia na kubandika bandika, angetengeneza kitu ambacho sijawahi kuona hapo kweli ningesema kipaji , wabongo acheni shobo, kwa hiyo unataka aendelezwe kutengeneza viwanja vya maboksi ? au unasema wale watoto wote wanaotengenza magari ya maboksi mtaani wanaweza kutengeneza gari ? au wanaotengeneza midoli ya udongo wanaweza kutengeneza robots ?