Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Mmh kwahiyo unajifanya wewe kuadi!"Sasa huyo dada si anatafuta lawama!?Kila siku namuambia Seif huyu mwanamke hafai haelewi.Mwanamke gani anakataa nusu kilo anataka kilo wakati yupo peke yake!?Mpe mama apike tuile na ugali Seif ntamwambia mi asiniagize tena kwa huyu mwanamke mke wangu."Huu ungekuwa utetezi wangu,sijui ningeeleweka?