Je Dogo amedhurumiwa?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Dogo alikuwa anafanya kazi kwenye hardware ya faza flani hivi.

Dogo alipiga hela pale dukani akaenda kujenga nyumba ikiwa inekaribia kwenye finishing, raia wakamsanua yule mzee kuwa kijana wako dukani anakupiga hela hadi anakaribia kuhamia kwake.

Yule mzee akaenda kuiona nyumba kimya kimya, akamuita dogo baadae akamwambia niichukue hii nyumba au nikufunge?

Dogo akakubalia kuachia nyumba, mzee akaipiga finishing akaiuza kwa mtu mwengine.

Sheria hapa imekaaje? Dogo ana haki au kadhulumiwa?
 
Dogo alikuwa anafanya kazi kwenye hardware ya faza flani hivi

Dogo alipiga hela pale dukani akaenda kujenga nyumba ikiwa inekaribia kwenye finishing, raia wakamsanua yule mzee kuwa kijana wako dukani anakupiga hela hadi anakaribia kuhamia kwake.

Yule mzee akaenda kuiona nyumba kimya kimya, akamuita dogo baadae akamwambia niichukue hii nyumba au nikufunge?

Dogo akakubalia kuachia nyumba, mzee akaipiga finishing akaiuza kwa mtu mwengine.

Sheria hapa imekaaje? Dogo ana haki au kadhulumiwa?


C & P
mbona iko wazi kadhulumiwa, ndio maana sipendi kuajiriwa
 
Kadhulumiwa ingawa kaiba!
Kufungwa mpaka kuwe na ushahidi wa kutosha kuwa alijenga kwa kuiba fedha za huyo Mzee.Kama ana document za ardhi na mafundi amewalipa yeye ageuze kibao kwa kuwa huyo Mzee. Huyo Mzee hana umiliki kwa hiyo ameuza Mali hewa, otherwise kama waliandikishiana hayo makunaliano.

Bado ana haki yake na nyumba ni mali yake
 
Huyo Dogoo ni Falaaaaaa... ila huwezi juaa pengine kwa rohoo mbaya ya huyo mzee angefanya njama za kumuua. Ila bado hakijaharibika kitu maana Hati ya kiwanja ni yake badoo so hapo kesi anashindaa mapema sanaa.
 
Kadhulumiwa ingawa kaiba!
Kufungwa mpaka kuwe na ushahidi wa kutosha kuwa alijenga kwa kuiba fedha za huyo Mzee.Kama ana document za ardhi na mafundi amewalipa yeye ageuze kibao kwa kuwa huyo Mzee. Huyo Mzee hana umiliki kwa hiyo ameuza Mali hewa, otherwise kama waliandikishiana hayo makunaliano.

Bado ana haki yake na nyumba ni mali yake
Yaah mzee anajidanganyaa tu tenaaa kapoteza na hela za finishing.. Dogo akadai nyumba yake hiyoo suala la hela za kujenga katoa wapi huyo mzew mwanga hakimuusu kwani mtu akifanya kazi kwake ndo haruhusiwi kujenga??
 
Dogo alikuwa anafanya kazi kwenye hardware ya faza flani hivi.

Dogo alipiga hela pale dukani akaenda kujenga nyumba ikiwa inekaribia kwenye finishing, raia wakamsanua yule mzee kuwa kijana wako dukani anakupiga hela hadi anakaribia kuhamia kwake.

Yule mzee akaenda kuiona nyumba kimya kimya, akamuita dogo baadae akamwambia niichukue hii nyumba au nikufunge?

Dogo akakubalia kuachia nyumba, mzee akaipiga finishing akaiuza kwa mtu mwengine.

Sheria hapa imekaaje? Dogo ana haki au kadhulumiwa?


C & P
Amedhulumiwaje wakati kajenga kwa hela ya aliyemwibia?

1. Huyo Mzee anajua mshahara alipokuwa anamlipa. Inawezekana kwa mshahara huo asingeweza kujenga hata kwa miaka mitano.

2. Kijana kakiri kuiba na kakubali kurudisha.

3. Huyo Mzee si mjinga! Kabla ya kumwuliza alishajipanga jinsi ya kumdhibiti Kisheria endapo huyo kijana angekana. Kama angempaleka kwenye Sheria, ingeweza kugharimu zaidi huyo kijana.

Mwacheni Mzee wa watu achukue vyake. Mafanikio ni mazuri. Lakini mali ya uwizi si maendeleo.
 
Labda kweli dogo ni mwizi.

Juzi nilikua duka fulani kuna dogo alileta mzigo pale shop.
Yule dogo anasambaza bidhaa za jumla madukani. Sasa pale kwenye utani utani akaomba anunuliwe bia moja, wadau wakamshukia kama mwewe kua anashindwaje kumuibia bosi wake hata bia tano tu alewe.

Dogo nae si akaanza kujitutumua pale kua yeye sio mzembe huwa anamuibia sana hosi wake, akawa anataja pale bidhaa na namna anampiga bosi wake.

Dogo kama huyu akija kutoboa lazima wanaa wamtonye boss kua dogo atakufilisi.

Madogo hawajui kuiba kwa akili, na mbaya zaidi ni kua wanapenda sana showoff za kijinga. Bila shaka huko kujenga alikua anamwambia karibia kila mtu.
 
Amedhulumiwaje wakati kajenga kwa hela ya aliyemwibia?

1. Huyo Mzee anajua mshahara alipokuwa anamlipa. Inawezekana kwa mshahara huo asingeweza kujenga hata kwa miaka mitano.

2. Kijana kakiri kuiba na kakubali kurudisha.

3. Huyo Mzee si mjinga! Kabla ya kumwuliza alishajipanga jinsi ya kumdhibiti Kisheria endapo huyo kijana angekana. Kama angempaleka kwenye Sheria, ingeweza kugharimu zaidi huyo kijana.

Mwacheni Mzee wa watu achukue vyake. Mafanikio ni mazuri. Lakini mali ya uwizi si maendeleo.
Wewe hii nchi wangapii wanaibaa mzee??? Watu wanalipana maposhoo ya maana huko ni kutuibiaaa daily ila kakijana kawatu kamejitafutaaa kamejipataa linatokea zeee moja linadai limeibiwaa bhasi aende polisii.
 
Back
Top Bottom