marejesho JF-Expert Member Jan 6, 2011 6,635 3,655 Nov 30, 2012 #2 Labda anawaza akiwa mkubwa atapata fedha nyingi, atawajengea wazazi wake nyumba bora nk.......
N Ngekewa JF-Expert Member Jul 8, 2008 7,705 1,288 Dec 1, 2012 #3 Anawanza iwapo mzee wake atarudi na kipande cha muhogo ili azime njaa!.Maisha ya kitoto ni mazuri kwani ni kitu kimoja tu ndio mbele, tumbo lake!
Anawanza iwapo mzee wake atarudi na kipande cha muhogo ili azime njaa!.Maisha ya kitoto ni mazuri kwani ni kitu kimoja tu ndio mbele, tumbo lake!