Dogo anatembea na mama!

Bwana watu waache utani,

Unaweza kuoengelea mambo mengine lakini siyo mambo ya namna hii kwa watu wawili....mama mzazi na mke wako!!
 
siwezi wala kuliwazia hilo.. kwakua halipo.. na siwezi feel pain coz halipo kabisa
 
Kwa kweli inategemea, mie nitajali au nitajisikia vibaya mama angu akitembea na kijana ambae rafiki yangu
hapo nitajisikia vibaya japo pia sina jinsi ni kuwaacha, na kitu kingine akiwa anabadili kila mara leo huyu kesho
yule, hapo ni noma, ila akiwa alifiwa au talaka, na yuko na kijana wake huyohuyo kakutana nae kivyake sitasikia vibaya
ni maisha yake na happiness yake
 
The Boss, maswali yako mbona yanajibika tu. Tuchukulie baba hayupo, yawezekana akawa amefariki au walitalikiana au alizaa tu na bwana.
Lengo langu ni kutaka kujua kitakachoenda kichwani mwa mtoto baada ya kupata taararifa hizo au kushuhudia.

Hebu niulize tena, Hivi mwili wamama unahusiana vipi na mtoto? mama si anayo matamanio yake? ina maana hapaswi kujiridhisha atakavyo bali hadi mtoto aamue yupi wa kutembea na mama?
Mimi naamini mama ni binadamu kamili ambaye na yeye anayo mamlaka na mwili wake hata kama akitembea na mwenda wazimu, si ndio mapenzi yake? sasa mimi kama mtoto nitahusikaje kwenye maya mama?
Kwa kuwa jamii imetufundisha kuwa jambo hilo ni baya basi na sisi tunalitafsiri kwa mujibu wa jamii na sio kama sisi.

Tukumbuke kuwa mama naye ni binadamu anayop matamanio yake........ Huo ni mtazamo wangu tu
Ninaungana na mawazo yako.
Tatizo liko wapi? Umri wa dogo au kutembea?
Kama huyo angemuoa je?
Kama angekuwa anatembea na watu wa umri wake je?
Kwa maoni yangu, mama ana uhuru wa kuchagua anayempenda bila ya sisi watoto kuwa na haki ya kumchagulia. Kitu ambacho mama angepaswa kuzingatia ni kuchagua mmoja, au mdogo au mkubwa, lakini mmoja. Sasa ikiwa anabadilisha kama nguo (atakuwa anajipachika jina jengine katika jamii na zaidi kwa kuzingatia tamaduni zetu hizi za "kutoa kibanzi kwenye jicho la jirani wakati kwenye jicho letu tuna boriti".
 
Hilo swala gumu sana. Naona ningehama nyumban il nikwepe aibug
 
sasa uone wivu kwani wataka utembee nae ww au?
Dada yangu mwenyewe sioni wivu wala siu mii roho coz kila mtu na maisha yake sembuse mama alienizaa?!
Hata kama ikitokea sana sana nitaamua kuondoka tu ku kwepa ma aibt bt kamwe cwez kuhoji.
 
Ni kazi ngumu sana kumpangia mtu namna ya kuutumia mwili wake,hakuna jinsi tofauti na kukubaliana na kinachotokea,kuwa mama haimaanishi kuwa na mamlaka na mwili wake!Kwanza inatakiwa ujue haikuhusu!
 
Hebu tuchukulie kwamba, mzazi wako wa kike yaani mama yako anafanya mambo ambayo unaamini anakudhalilisha. Hebu tuchukulie kwamba, umejua au umepata taarifa kwamba, mama yako anatembea na kijana au vijana wadogo sana wa umri wako au hata wadogo kuliko wewe. Ningependa kujua ungefanyaje?

Kwa nini isiwe ni mama yako?
 
Hebu tuchukulie kwamba, mzazi wako wa kike yaani mama yako anafanya mambo ambayo unaamini anakudhalilisha. Hebu tuchukulie kwamba, umejua au umepata taarifa kwamba, mama yako anatembea na kijana au vijana wadogo sana wa umri wako au hata wadogo kuliko wewe. Ningependa kujua ungefanyaje?

Jiulize pia: Wakati huo huo ...What if ... Mama yako mzazi akikufuma nyumbani unafanya mapenzi na bibi wa umri wa zaidi ya miaka 70....
 
jamani hili jambo linauma sana kweli nilsha niona kwa macho tena mama kaolewa na mtoto ambaye hata watoto wake wana umri mkubwa zaidi haya ya miaka 10 kweli ni watoto walikuwa wanaona haya sana kila wakati ndio maana wengine waliamua kuhama na wengine kumtenga mama yao
 
Back
Top Bottom