Bwana watu waache utani,
Unaweza kuoengelea mambo mengine lakini siyo mambo ya namna hii kwa watu wawili....mama mzazi na mke wako!!
Ninaungana na mawazo yako.The Boss, maswali yako mbona yanajibika tu. Tuchukulie baba hayupo, yawezekana akawa amefariki au walitalikiana au alizaa tu na bwana.
Lengo langu ni kutaka kujua kitakachoenda kichwani mwa mtoto baada ya kupata taararifa hizo au kushuhudia.
Hebu niulize tena, Hivi mwili wamama unahusiana vipi na mtoto? mama si anayo matamanio yake? ina maana hapaswi kujiridhisha atakavyo bali hadi mtoto aamue yupi wa kutembea na mama?
Mimi naamini mama ni binadamu kamili ambaye na yeye anayo mamlaka na mwili wake hata kama akitembea na mwenda wazimu, si ndio mapenzi yake? sasa mimi kama mtoto nitahusikaje kwenye maya mama?
Kwa kuwa jamii imetufundisha kuwa jambo hilo ni baya basi na sisi tunalitafsiri kwa mujibu wa jamii na sio kama sisi.
Tukumbuke kuwa mama naye ni binadamu anayop matamanio yake........ Huo ni mtazamo wangu tu
You son of mine... You never let your mama down! I knew you would never
kalisha me kitimoto...lolz Continue on being good son.
Hebu tuchukulie kwamba, mzazi wako wa kike yaani mama yako anafanya mambo ambayo unaamini anakudhalilisha. Hebu tuchukulie kwamba, umejua au umepata taarifa kwamba, mama yako anatembea na kijana au vijana wadogo sana wa umri wako au hata wadogo kuliko wewe. Ningependa kujua ungefanyaje?
Hebu tuchukulie kwamba, mzazi wako wa kike yaani mama yako anafanya mambo ambayo unaamini anakudhalilisha. Hebu tuchukulie kwamba, umejua au umepata taarifa kwamba, mama yako anatembea na kijana au vijana wadogo sana wa umri wako au hata wadogo kuliko wewe. Ningependa kujua ungefanyaje?