The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,817
Vipi Kama jamaa siyo mzuri kwenye biashara? Kumbuka siyo Kila mtu anaweza kutengeneza mradi wake binafsiAround 60millions kwa mwaka halaf linganisha na hzo za serkalin..
Huko private anaweza akafanya kazi na akafungua miradi yake mingne ya kumuingizia fedha
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app