Mbuna
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 269
- 71
Nimeshudia dogo wisman mwenye miaka 23 aliyetoka mbeya kwa miguu hadi hapa jijini dsm tokea siku ya jumatano kwa ajili ya kwenda kutazama mechi ya taifa stars, kama ni uzalendo dogo kazidi kwani kwa nilivyomshuhudia huwezi amini kama ndio yeye katokea dar hadi hapa