DODOMA : Siri nzito tulizonazo sisi wahudumu wa nyumba za kulala wageni

Kwa waliokaa dodoma ufuska haujaanza juzi wala jana...
Ukitaka kujua hilo, subiri vikao vya bunge vianze maana utakutana na wauzaji hadi wa nchi jirani

Labda kama ulichelewa kuyaona
 
Acha umbea.. Starehe za Watu..!! Mi nikiongia na student namfundisha masomo ya ziada..!!
Wakuu. Amani iwe nanyi


Kwa privacy sitataja mm ni mfanyakazi wa lodge gani Dodoma.


Kiukweli yanayotendeka nyumba za kulala wageni (guest house ) , lodge , hotelini na zile
tuitazo guest bubu ni ya hatari , yanafikirisha na ni maasi makubwa sana.

Watu wanakulana aisee jamani. Na miongoni
mwa ambao wanafunana sana ni :-

1. Walimu(me) Vs Wanafunzi (ke)

2. Wahadhiri wa vyuo Vs madenti wao

3. Bodaboda Vs wake za watu

4. Wanafunzi Vs Wanafunzi

5. Waheshimiwa Vs videnti vya chuo

6. Mashoga Vs Waheshimiwa

7. Waume za watu Vs Wake za watu

Na siku hizi watu wanaumizana nyakati za mchana (hasa wafanyakazi).

Mtu X na mtu Y wote wanaaga kama wanaenda kula breakfast or lunch. Nusu saa kwao inawatosha mno kufanya kila mtu. Jamaa analipa room ya elfu 80 per day , anagonga mke wa mtu dakika 20 anasepa zake mazima. Siku imeisha.


Mchana kuna maasi sana Dodoma. Mtoto anaaga home eti anaenda dukani dakika 20. Jamaa anamnyakua mahali na boda anaenda kumtafuna. We unaona yupo full time home kumbe unalizwa.

BodBoda na Bajaji wana siri nzito sana. Wanatumika sana kuleta na kufuata wake /waume za watu Lodge / Guests.

Mm huwa naona mpaka wake wa jamaa zangu wanakuja kugongwa. Mara nyingi tu. Anakukatia mkwanja unauchuna.

Mambo mengi muda mchache!
 
pigia mstari,lazima auze,pesa atie mfukoni
Aina nyingine hiyo ya wizi na kukwepa kodi... hata hivyo mleta mada anapokea hongo ili kuwafichia siri wake wa jamaa zake! ni heri asingepokea pesa hizo kwani yana/yatafanyika kwake pia. iwe ni kwa mwenzi wake ama binti au mjukuu.
 
Wakuu. Amani iwe nanyi
Kwa privacy sitataja mm ni mfanyakazi wa lodge gani Dodoma.
Kiukweli yanayotendeka nyumba za kulala wageni (guest house ) , lodge , hotelini na zile
tuitazo guest bubu ni ya hatari , yanafikirisha na ni maasi makubwa sana.
BodBoda na Bajaji wana siri nzito sana. Wanatumika sana kuleta na kufuata wake /waume za watu Lodge / Guests.
Hapa ni Chako ni Chako na Uhindini ndio kuna vigesti bubu vya karibu mjini!. Sehemu nyingine ni Area D, Ipagala na Majengo!.. Nje ya hapo area C
Ukitoa details kidogo tu umekwisha!..
 
Wakuu. Amani iwe nanyi


Kwa privacy sitataja mm ni mfanyakazi wa lodge gani Dodoma.


Kiukweli yanayotendeka nyumba za kulala wageni (guest house ) , lodge , hotelini na zile
tuitazo guest bubu ni ya hatari , yanafikirisha na ni maasi makubwa sana.

Watu wanakulana aisee jamani. Na miongoni
mwa ambao wanafunana sana ni :-

1. Walimu(me) Vs Wanafunzi (ke)

2. Wahadhiri wa vyuo Vs madenti wao

3. Bodaboda Vs wake za watu

4. Wanafunzi Vs Wanafunzi

5. Waheshimiwa Vs videnti vya chuo

6. Mashoga Vs Waheshimiwa

7. Waume za watu Vs Wake za watu

Na siku hizi watu wanaumizana nyakati za mchana (hasa wafanyakazi).

Mtu X na mtu Y wote wanaaga kama wanaenda kula breakfast or lunch. Nusu saa kwao inawatosha mno kufanya kila mtu. Jamaa analipa room ya elfu 80 per day , anagonga mke wa mtu dakika 20 anasepa zake mazima. Siku imeisha.


Mchana kuna maasi sana Dodoma. Mtoto anaaga home eti anaenda dukani dakika 20. Jamaa anamnyakua mahali na boda anaenda kumtafuna. We unaona yupo full time home kumbe unalizwa.

BodBoda na Bajaji wana siri nzito sana. Wanatumika sana kuleta na kufuata wake /waume za watu Lodge / Guests.

Mm huwa naona mpaka wake wa jamaa zangu wanakuja kugongwa. Mara nyingi tu. Anakukatia mkwanja unauchuna.

Mambo mengi muda mchache!
So???
 
Back
Top Bottom