DODOMA : Siri nzito tulizonazo sisi wahudumu wa nyumba za kulala wageni

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,551
Wakuu. Amani iwe nanyi

Kwa privacy sitataja mm ni mfanyakazi wa lodge gani Dodoma.

Kiukweli yanayotendeka nyumba za kulala wageni (guest house ), lodge, hotelini na zile tuitazo guest bubu ni ya hatari, yanafikirisha na ni maasi makubwa sana.

Watu wanakulana aisee jamani. Na miongoni mwa ambao wanafumana sana ni :-

1. Walimu(me) Vs Wanafunzi (ke)

2. Wahadhiri wa vyuo Vs madenti wao

3. Bodaboda Vs wake za watu

4. Wanafunzi Vs Wanafunzi

5. Waheshimiwa Vs videnti vya chuo

6. Mashoga Vs Waheshimiwa

7. Waume za watu Vs Wake za watu

Na siku hizi watu wanaumizana nyakati za mchana (hasa wafanyakazi).

Mtu X na mtu Y wote wanaaga kama wanaenda kula breakfast or lunch. Nusu saa kwao inawatosha mno kufanya kila mtu. Jamaa analipa room ya elfu 80 per day , anagonga mke wa mtu dakika 20 anasepa zake mazima. Siku imeisha.


Mchana kuna maasi sana Dodoma. Mtoto anaaga home eti anaenda dukani dakika 20. Jamaa anamnyakua mahali na boda anaenda kumtafuna. We unaona yupo full time home kumbe unalizwa.

BodBoda na Bajaji wana siri nzito sana. Wanatumika sana kuleta na kufuata wake /waume za watu Lodge / Guests.

Mimi huwa naona mpaka wake wa jamaa zangu wanakuja kugongwa. Mara nyingi tu. Anakukatia mkwanja unauchuna.

Mambo mengi muda mchache!
 
Hii namba sita( 6)ebu fanya resech vizuri mkubwa utuletee mrejesho kamili
Wakuu. Amani iwe nanyi


Kwa privacy sitataja mm ni mfanyakazi wa lodge gani Dodoma.


Kiukweli yanayotendeka nyumba za kulala wageni (guest house ) , lodge , hotelini na zile
tuitazo guest bubu ni ya hatari , yanafikirisha na ni maasi makubwa sana.

Watu wanakulana aisee jamani. Na miongoni
mwa ambao wanafunana sana ni :-

1. Walimu(me) Vs Wanafunzi (ke)

2. Wahadhiri wa vyuo Vs madenti wao

3. Bodaboda Vs wake za watu

4. Wanafunzi Vs Wanafunzi

5. Waheshimiwa Vs videnti vya chuo

6. Mashoga Vs Waheshimiwa

7. Waume za watu Vs Wake za watu

Na siku hizi watu wanaumizana nyakati za mchana (hasa wafanyakazi).

Mtu X na mtu Y wote wanaaga kama wanaenda kula breakfast or lunch. Nusu saa kwao inawatosha mno kufanya kila mtu. Jamaa analipa room ya elfu 80 per day , anagonga mke wa mtu dakika 20 anasepa zake mazima. Siku imeisha.


Mchana kuna maasi sana Dodoma. Mtoto anaaga home eti anaenda dukani dakika 20. Jamaa anamnyakua mahali na boda anaenda kumtafuna. We unaona yupo full time home kumbe unalizwa.

BodBoda na Bajaji wana siri nzito sana. Wanatumika sana kuleta na kufuata wake /waume za watu Lodge / Guests.

Mm huwa naona mpaka wake wa jamaa zangu wanakuja kugongwa. Mara nyingi tu. Anakukatia mkwanja unauchuna.

Mambo mengi muda mchache!
 
Duh - Idodomya.... Kumbe kuna mambo sana.. Hiyo Na. 6 -Mashoga wameshavamia huko? Mkuu wasaidie hao wake wa marafiki zako, wataliwa na kuumizwa sana... Mbunye zitaharibika......
 
Wakuu. Amani iwe nanyi


Kwa privacy sitataja mm ni mfanyakazi wa lodge gani Dodoma.


Kiukweli yanayotendeka nyumba za kulala wageni (guest house ) , lodge , hotelini na zile
tuitazo guest bubu ni ya hatari , yanafikirisha na ni maasi makubwa sana.

Watu wanakulana aisee jamani. Na miongoni
mwa ambao wanafunana sana ni :-

1. Walimu(me) Vs Wanafunzi (ke)

2. Wahadhiri wa vyuo Vs madenti wao

3. Bodaboda Vs wake za watu

4. Wanafunzi Vs Wanafunzi

5. Waheshimiwa Vs videnti vya chuo

6. Mashoga Vs Waheshimiwa

7. Waume za watu Vs Wake za watu

Na siku hizi watu wanaumizana nyakati za mchana (hasa wafanyakazi).

Mtu X na mtu Y wote wanaaga kama wanaenda kula breakfast or lunch. Nusu saa kwao inawatosha mno kufanya kila mtu. Jamaa analipa room ya elfu 80 per day , anagonga mke wa mtu dakika 20 anasepa zake mazima. Siku imeisha.


Mchana kuna maasi sana Dodoma. Mtoto anaaga home eti anaenda dukani dakika 20. Jamaa anamnyakua mahali na boda anaenda kumtafuna. We unaona yupo full time home kumbe unalizwa.

BodBoda na Bajaji wana siri nzito sana. Wanatumika sana kuleta na kufuata wake /waume za watu Lodge / Guests.

Mm huwa naona mpaka wake wa jamaa zangu wanakuja kugongwa. Mara nyingi tu. Anakukatia mkwanja unauchuna.

Mambo mengi muda mchache!
Kwa kweli,

MM MWENYEWE NAIONA DODOMA KAMA inataka kuipiku BUKOBA,
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom