Watu wanafikiria kama wameazima vichwa vya panzi.Ni makao makuu projection za yajayo ilitaka kuwa na miundombinu hiyo..unataka 20 yrs baadae pawe congested kama dsm?
Sijui kama una akili timamu. Yani mwanaume mzima unataka uwekewe ela mfukoni?Ni kweli aipige chini ili ile hela watuwekee mifukoni. Yaani sasa hivi ukipita mitaani unaokota hela nje nje.
Magufuli alikuwa na mapenzi makubwa mnoooo kwa watu wa taifa hili ila wenye uchu wa madaraka wakaona wamu expose na virus vya corona ili kumuondoa ASAPUpembuzi yakinifu lazima ufanyike. Miradi mingine ilianzishwa kwa malengo ya kisiasa na si uchumi
Ni wewe huna akili zaidi ya kuvukia barabara. Let me put it clear so that your tiny brain can grasp something. I was just being SARCASTIC.Sijui kama una akili timamu. Yani mwanaume mzima unataka uwekewe ela mfukoni?
Sarcasm mpaka nimesisimka! 😂Kama mnataka isibomolewe itungieni sheria. Inaweza kuitwa "An Act to protect the Legacy of the anointed Supreme John Joseph Pombe Magufuli".
Maria SarungiKwahiyo we ulitaka mama afanyaje kwa kipindi kile? Kwani kuna ambae alikuwa na uwezo wa kumpinga Magu?
Kama nchi tunahitaji miradi yenye impact kubwa kwa uchumi wa nchi ndio ipewe kipaumbele kwa sasa. Mfano mradi wa kufua umeme wa bwawa la JN ni muhimu katika kukabiliana na upungufu na kuongeza mahitaji ya nishati ya umeme ambao ni muhimu sana kiuchumi.Serikali ya awamu ya tano ya Hayati Magufuli twajua iliasisi miradi mingi ktk maeneo mbalimbali ya nchi,mfano bwawa la mwal. Nyerere,reli ya mwendo Kasi (SGR) ,barabara za njia nane,ringroads na miradi mingine ming...
Aise naona umeandika kwa kufoka sn lkn jua jambo mmoja kila kiongozi anataka awacha alama ya uongozi wake, pili sio kila mradi wa serikali ukisimama ndio hutatekelezwa hapana ni priorities za awamu tu ndio hubadilika.Watu huwa wanatizama mbali miaka hata mia mbili mbele huko.
Magufuli alikuwa anatambua kwamba baada ya miaka kadhaa, dodoma itafurika watu...
Magufuli aliyoyafanya kwa miaka mitano, samia hawezi kuyafanya kwa miaka kumiUpembuzi yakinifu maana yake nini?
Hii nchi ilihitaji kiongozi shupavu anayeweza kuisukuma mbele kwa nguvu. Na mtu pekee aliyeweza kufanya hivyo ni Magufuli pekee...
Nyinyi wa bara ndio mlinyooshwa vilivyo na Magufuli hadi wengine mkakimbia nchiUsiwasingizie ni sisi wabara hatutaki ujinga
Hapana. ULE WA UMEME WA MTO RUFIJI NI MUHIMU KWA SASA NA MIAKA MNGI IJAYO PAMOJA NA ULEWA SGR. Lbda SGR kipande cha shinyanga mpaka mwanza kiachwe kwa sasa na ujenzi uanzie kahama mpaka nzega mpaka tabora. HII IKIUGANISHWA NA MAKUTPORA TUTAANZA KUPATA FAIDA YA KUBEBA MIZIGO YA RWANDA NA BURUNDI NA CONGO PIA UGANDA wakati huo huo abiria.Inatakiwa wafute miradi yote ya Magu, waanzishe Yao na waendelee na ule WA bandari Bagamoyo wamechelewa sana.
#KaziNaIendelee
Ni bora asifanye kabisa maana DENI LILILOPO ni hatari kwa mstakabala wa NCHI huko mbeleni wananchi watabinywa hadi wakome kwa ajili ya Kodi unajua kila mwezi Malipo ya interest kwa ajili ya kuserve Deni la taifa kiasi gani ? Wakiendelea kwa style hii ya madeni kodi zote zinazokusanywa zitakuwa zote zina lipa DENI mtakosa hata hela ya kulipa mishahara.Magufuli aliyoyafanya kwa miaka mitano, samia hawezi kuyafanya kwa miaka kumi
Mfano gesi ya MtwaraNi kawaida maana ni kawaida kwa nchi yetu kila kiongozi anakuja na vipaumbele vyake, baada ya miaka 20 tutajikuta hakuna kilichokamilika
Apo umenenaKUNA WATU WANAFIKI SANA HUMU,HAKUNA JINSI TUTAISHI NAO HIVYO HIVYO.
=======================================
TUKUBALIANE IPO MIRADI AMBAYO ILIANZISHWA KATIKA MWENDO WA KICK TU...