sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,130
Wewe nawe acha ujinga, usitoe takwimu linganishi za bangi, huo ni uongo, uhalifu upo dunia nzima na hauna uhusiano na bangi. Mvuta bangi anaweza kuwa mwema au muovu, ila issue sio bangi. Bangi ni starehe kama zilivyo ngono na pombe, zaidi sana ni dawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
hatari kubwa.
Nchi kama Jamaica ambayo bangi imeruhusiwa.
Ndiyo moja ya nchi yenye mauaji makubwa kila mwaka duniani
Wizi wa fedha, heleni dhahabu nk
Ni nchi yenye magenge hatari ya madawa ya kulevya.
Kwa hiyo Tanzania ijiandae kwa hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app