Dodoma ni kutamu jamani

Dodoma ni kutamu jamani

Kuna watu ni hodari wa kuiponda Dar.
Wa Kaskazini Utaskia Chugga ni nchi ile baba,
Wa Kanda ya Ziwa utaskia Mwanza ni bonge la jiji.
Wa Nyanda za juu,utaskia sifa kibao kuhusu Mbeya.
Na sasa kuna hawa wa Dodoma...
Tembelea hayo majiji yenyewe ndiyo utakapochoka....
  • Unaweza maliza zunguka hayo majiji kwa masaa mawili na ukayamaliza
  • Viwanja vya bara ni vya kuhesabika
  • Aina za bata ni za kuhesabika
  • Ukosefu wa baadhi ya huduma
  • Majiji ambayo ikifika saa 4 usiku, Usafiri unakoma.
  • Maeneo yenye mikusanyiko ya watu inahesabika
Arusha,Mwanza,Mbeya na Dom yanastihili sifa lakini siyo kwa kuiponda Dar...
Hakuna jiji la kuifikia Dar ndani ya nchi, ukweli wenye kuuma.
Ngoja wanaume wakuwekeeee
 
Matumizi ya L kwenye nafasi ya R....
Umenishangaza unaposema Goba ni pakishua....
Mbona location zote ulizozitaja ni Uswahilini choka mbaya,,sasa kama umekaa hadi Maandazi road, hauwezi ona uzuri wa Dar.
Kule ni uswahilini ila hawakai watoto wa mama
 
Nina kiwanja Dodoma kina hati natafuta mtu mwenye kiwanja Dar anaetaka tubadilishane. Kiwanja kipo Nzuguni karibu na stand ya nane nane kina hati.

Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Dar Nina viwanja vingi sana ndugu yg kama upo tayari nikakupe chanika kiwanja kina Banda la vyumba viwili eneo ni 20 kwa 20 upo tayari njoo bobo tubadilishane
 
Kuna watu ni hodari wa kuiponda Dar.
Wa Kaskazini Utaskia Chugga ni nchi ile baba,
Wa Kanda ya Ziwa utaskia Mwanza ni bonge la jiji.
Wa Nyanda za juu,utaskia sifa kibao kuhusu Mbeya.
Na sasa kuna hawa wa Dodoma...
Tembelea hayo majiji yenyewe ndiyo utakapochoka....
  • Unaweza maliza zunguka hayo majiji kwa masaa mawili na ukayamaliza
  • Viwanja vya bara ni vya kuhesabika
  • Aina za bata ni za kuhesabika
  • Ukosefu wa baadhi ya huduma
  • Majiji ambayo ikifika saa 4 usiku, Usafiri unakoma.
  • Maeneo yenye mikusanyiko ya watu inahesabika
Arusha,Mwanza,Mbeya na Dom yanastihili sifa lakini siyo kwa kuiponda Dar...
Hakuna jiji la kuifikia Dar ndani ya nchi, ukweli wenye kuuma.
Wakuja kama nyinyi ndio mnaishia kushangaa magari na magorofa ya wanaume wenzenu dar , huku mkiishi vingunguti, mnaishi kama makima ya polini
 
😂🤣😅Unagusa Manyigu
Wakati jiwe anaforce Dom pawe mji wa gov, Dodoma municipal palikuwa na mazizi ya mifugo zaidi ya 10, fikirikia kisasa Pana mazizi sio mabanda bali ni mazizi, utasema ni umasaini vile
 
Mzilankende Alipapenda Sana Wakati Wa Uhai
Wakati jiwe anaforce Dom pawe mji wa gov, Dodoma municipal palikuwa na mazizi ya mifugo zaidi ya 10, fikirikia kisasa Pana mazizi sio mabanda bali ni mazizi, utasema ni umasaini vile
 
Wakati jiwe anaforce Dom pawe mji wa gov, Dodoma municipal palikuwa na mazizi ya mifugo zaidi ya 10, fikirikia kisasa Pana mazizi sio mabanda bali ni mazizi, utasema ni umasaini vile
Ushahidi bila picha
 
Wakati jiwe anaforce Dom pawe mji wa gov, Dodoma municipal palikuwa na mazizi ya mifugo zaidi ya 10, fikirikia kisasa Pana mazizi sio mabanda bali ni mazizi, utasema ni umasaini vile
Hilo govi ulilionaje au alikuweka ,
 
Back
Top Bottom