Dodoma mji unaoongoza kwa masista wengi

masare

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
1,779
1,812
Wadau nimebahatika kutembea miji/makao makuu ya mikoa karibia yote Tanzania ukiacha Zanzibar tu.Katika udadisi wangu nimegundua mji wa Dodoma una masista wengi(Catholic nun)kuliko mji mwengine wowote apa Tanzania.

Ukitembea maeneo ya katikati ya mji hadi pembezoni mwa mji na manispaa ya Dodoma ni kitu cha kawaida sana kukutana na Masista hawa wakiwa wanatembea au wapo kwenye magari yao.

Japo huku Dodoma ndio kitovu cha Kanisa la Anglican lakini ama kwa hakika Wakatoliki wamejiimarisha pia.Inasemekana masista wengi wanatoka Kondoa-Irangi pamoja na Usandawe kwani Warangi na Wasandawe wanapenda sana Usista na Upadre kuliko Wagogo(Ni nadra sana kukuta Sista mgogo).

Uwepo wa Mashirika ya kitawa ya Kikatoliki Dodoma kama vile waPassionist,St Donbosco,St Gema ,Damu Azizi Ya Yesu n.k kumechangia Dodoma kuwa na Masista wengi.

Shalom Dodoma!
 
Wadau nimebahatika kutembea miji/makao makuu ya mikoa karibia yote Tanzania ukiacha Zanzibar tu.Katika udadisi wangu nimegundua mji wa Dodoma una masista wengi(Catholic nun)kuliko mji mwengine wowote apa Tanzania.

Ukitembea maeneo ya katikati ya mji hadi pembezoni mwa mji na manispaa ya Dodoma ni kitu cha kawaida sana kukutana na Masista hawa wakiwa wanatembea au wapo kwenye magari yao.

Japo huku Dodoma ndio kitovu cha Kanisa la Anglican lakini ama kwa hakika Wakatoliki wamejiimarisha pia.Inasemekana masista wengi wanatoka Kondoa-Irangi pamoja na Usandawe kwani Warangi na Wasandawe wanapenda sana Usista na Upadre kuliko Wagogo(Ni nadra sana kukuta Sista mgogo).

Uwepo wa Mashirika ya kitawa ya Kikatoliki Dodoma kama vile waPassionist,St Donbosco,St Gema ,Damu Azizi Ya Yesu n.k kumechangia Dodoma kuwa na Masista wengi.

Shalom Dodoma!


Shalom!
 
Sidhani kama watafikia dar I mean daredaaaaa wambulu wadada karibuni woote ni masista sijawahi kuwaona kazi ya polisini hawapendi kufanya kazi polisini...
 
Wadau nimebahatika kutembea miji/makao makuu ya mikoa karibia yote Tanzania ukiacha Zanzibar tu.Katika udadisi wangu nimegundua mji wa Dodoma una masista wengi(Catholic nun)kuliko mji mwengine wowote apa Tanzania.

Ukitembea maeneo ya katikati ya mji hadi pembezoni mwa mji na manispaa ya Dodoma ni kitu cha kawaida sana kukutana na Masista hawa wakiwa wanatembea au wapo kwenye magari yao.

Japo huku Dodoma ndio kitovu cha Kanisa la Anglican lakini ama kwa hakika Wakatoliki wamejiimarisha pia.Inasemekana masista wengi wanatoka Kondoa-Irangi pamoja na Usandawe kwani Warangi na Wasandawe wanapenda sana Usista na Upadre kuliko Wagogo(Ni nadra sana kukuta Sista mgogo).

Uwepo wa Mashirika ya kitawa ya Kikatoliki Dodoma kama vile waPassionist,St Donbosco,St Gema ,Damu Azizi Ya Yesu n.k kumechangia Dodoma kuwa na Masista wengi.

Shalom Dodoma!

Tafiti yako ni moja ya tafiti mbovu kuwahi kutokea nchi hii hujatembea vya kutosha kwa kukusaidia tu Jimbo la Moshi ndilo jimbo lenye masista na mapadre wengi tz, source fuatilia takwimu za TEC
 
Kwa hiyo hapo wabunge wetu wakiume wanateseka sana kupata watu wa kubadilishana mawazo nyakati za mapumziko!!!:D:D:D:D:D:D:D:D
 
Wadau nimebahatika kutembea miji/makao makuu ya mikoa karibia yote Tanzania ukiacha Zanzibar tu.Katika udadisi wangu nimegundua mji wa Dodoma una masista wengi(Catholic nun)kuliko mji mwengine wowote apa Tanzania.

Ukitembea maeneo ya katikati ya mji hadi pembezoni mwa mji na manispaa ya Dodoma ni kitu cha kawaida sana kukutana na Masista hawa wakiwa wanatembea au wapo kwenye magari yao.

Japo huku Dodoma ndio kitovu cha Kanisa la Anglican lakini ama kwa hakika Wakatoliki wamejiimarisha pia.Inasemekana masista wengi wanatoka Kondoa-Irangi pamoja na Usandawe kwani Warangi na Wasandawe wanapenda sana Usista na Upadre kuliko Wagogo(Ni nadra sana kukuta Sista mgogo).

Uwepo wa Mashirika ya kitawa ya Kikatoliki Dodoma kama vile waPassionist,St Donbosco,St Gema ,Damu Azizi Ya Yesu n.k kumechangia Dodoma kuwa na Masista wengi.

Shalom Dodoma!
Unavyowasema warangi kwakuwa hata wewe ni mrangi. Masare kwa kirangi Maneno. Hao masista wengi wao walipatikana kutokana na uwepo wa Marehemu Askofu Isuja na wengi wanatoka Haubi na Itololo.
Hapo Dodoma warangi wengi ni maustadhi..
 
Kuna masista wengi sana hasa maeneo ya miyuji

Ambrossini
Ursulini
St.Gema
Cheshire
St.Gasper
Don Bosco
Precious Blood

Nawengine niliowasahau, nlikua nakula bata sana kwa masista asee pindi nasoma Don Bosco, full wine, mazagazaga adi nikatamani nisimalize skuli.

Dah, imebaki historia sasa.
 
Unavyowasema warangi kwakuwa hata wewe ni mrangi. Masare kwa kirangi Maneno. Hao masista wengi wao walipatikana kutokana na uwepo wa Marehemu Askofu Isuja na wengi wanatoka Haubi na Itololo.
Hapo Dodoma warangi wengi ni maustadhi..
Kweli masista wengi ni wa Haubi na Itololo na kwa wasandawe wengi wanatokea Ovada.

Ila Kondoa imekuwa dominated na dini Islam kuliko wa Kristo
 
Kondoa darasa linaweza lisiwe na mkristu, au yuko mmoja tu. Nakumbuka shule ya Miningani kwenye darasa letu la wanafunzi 73 A & B, Wakristu tulikua wawili tu. Shule nzima tulikua 23.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom