Dodoma: Mbunge Ditopile atoa msaada kwa wanafunzi 1,000

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Jul 10, 2020
2,542
2,171
IMG-20230128-WA0230.jpg

Wanafunzi 1,000 wanufaika na msaada wa vifaa vya shule vyenye thamani ya tsh. milioni 32 kutoka kwa Mariam Ditopile Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM mkoani Dodoma.

IMG-20230128-WA0233.jpg

Mbunge viti Maalum Mkoa wa Dodoma anayetokana na Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Mariam Ditopile amewawezesha wanafunzi wenye mahitaji maalumu vifaa vya shule kwa wanafuzi 1000 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 30.

Akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi vifaa hivyo kwa wilaya zote saba za Dodoma Ditopile amesema ikiwa ni kusherehekea kumbukizi ya kuzaliwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Aidha amewaomba wadau mbalimbali mkoani humo na nchini kutoa kipaumbele zaidi katika Sekta ya Elimu kwa kutoa misaada hasa wa watoto yatima na wenye mazingira magumu yatakayosababisha kukatisha masomo na kupoteza ndoto zao za elimu.
 
View attachment 2498565
WANAFUNZI 1,000 WANUFAIKA NA MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYENYE THAMANI YA TSH. MILIONI 32 KUTOKA KWA MH. MARIAM DITOPILE MBUNGE WA VITI MAALUM KUPITIA CCM MKOANI DODOMA.
View attachment 2498566
MBUNGE viti Maalum Mkoa wa Dodoma anayetokana na Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Mariam Ditopile amewawezesha wanafunzi wenye Mahitaji Maalumu vifaa vya shule kwa wanafuzi 1000 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 30.

Akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi vifaa hivyo kwa wilaya zote saba za Dodoma Ditopile amesema ikiwa ni kusherehekea kumbukizi ya Kuzaliwa RAIS SAMIA SULUHU HASSAN.

Aidha Amewaomba Wadau Mbalimbali Mkoani humo na Nchini Kutoa Kipaumbele Zaidi Katika Sekta ya Elimu kwa kutoa misaada hasa wa Watoto Yatima na Wenye Mazingira Magumu Yatayo sababisha Kukatisha Masomo na kupoteza Ndoto Zao Za Elimu.

===
Mariam Ditopile huwa anaongea ujinga muda mwingi. Kumbe viti maalum eeh...
 
Unamkumbuka mbunge wa mbarali aliegawa pawatila Kila Kijiji katika Jimbo lake? Vile vile anapomaliza alitoa sare Kwa watoto wote waliofaulu kuingia kidato Cha kwanza Kwa wilaya nzima. Sasa huyo watoto 1000 unasema haijawahi kutokea!
 
View attachment 2498565
WANAFUNZI 1,000 WANUFAIKA NA MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYENYE THAMANI YA TSH. MILIONI 32 KUTOKA KWA MH. MARIAM DITOPILE MBUNGE WA VITI MAALUM KUPITIA CCM MKOANI DODOMA.
View attachment 2498566
MBUNGE viti Maalum Mkoa wa Dodoma anayetokana na Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Mariam Ditopile amewawezesha wanafunzi wenye Mahitaji Maalumu vifaa vya shule kwa wanafuzi 1000 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 30.

Akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi vifaa hivyo kwa wilaya zote saba za Dodoma Ditopile amesema ikiwa ni kusherehekea kumbukizi ya Kuzaliwa RAIS SAMIA SULUHU HASSAN.

Aidha Amewaomba Wadau Mbalimbali Mkoani humo na Nchini Kutoa Kipaumbele Zaidi Katika Sekta ya Elimu kwa kutoa misaada hasa wa Watoto Yatima na Wenye Mazingira Magumu Yatayo sababisha Kukatisha Masomo na kupoteza Ndoto Zao Za Elimu.

===
Stupidity thread
 
Hizo ni hela za mfuko wa jimbo ila anapotoa watu wanazani ametoa mfuko wake
Mfuko wa Jimbo ni kiasi gani? Tuanzie hapo. Na wabunge ambao hawafanyi hayo hutumiaje mfuko wa Jimbo? Je maamuzi ya fedha za mfuko wa Jimbo mbunge anapangiwa chakufanyia? Yule mwamba alitumia zaidi ya pesa ya mfuko wa jimbo
 
Back
Top Bottom