NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,737
Ninazungumza haya nikiwa Nina wiki Sasa imekata leseni ya biashara sijapata, Tena siyo leseni mpya nimetuma maombi ya kurenew leseni yangu ya Zamani lakini kilichotokea mpaka nimechoka.
Sasa sijajua kinachoendelea ni Nini hapo wakati kabla ya serikali kuelekeza wafanyabiashara waombe kupitia online, mwanzo walikua wanapata kiurahisi kuliko huu mfumo waliouanzisha.
Nakumbuka nilichukua leseni manispaa kiurahisi pamoja na kupanga foleni ilinichukua masaa matatu control namba ilitoka nikalipia Kisha niliondoka na leseni yangu ndani ya masaa matatu.
Huu mfumo wa online haswa hapa dodoma nahisi wanaohusika nao wanajisahau sana/WANAFANYA kazi kwa mazoea na ndiyo maana Hawa "approve" documents kwa wakati ili watu wapate leseni wafanye Mambo mengine.
Maoni Yangu : serikali/wahusika watafute njia nzuri ya uwajibikaji ili kuepusha kelo Kama hizi kwa wateja haiwezekani mtu afatilie leseni wiki nzima Tena ana renew na documents zote zipo hapa kutakua na urasimu siyo BURE.
Sasa sijajua kinachoendelea ni Nini hapo wakati kabla ya serikali kuelekeza wafanyabiashara waombe kupitia online, mwanzo walikua wanapata kiurahisi kuliko huu mfumo waliouanzisha.
Nakumbuka nilichukua leseni manispaa kiurahisi pamoja na kupanga foleni ilinichukua masaa matatu control namba ilitoka nikalipia Kisha niliondoka na leseni yangu ndani ya masaa matatu.
Huu mfumo wa online haswa hapa dodoma nahisi wanaohusika nao wanajisahau sana/WANAFANYA kazi kwa mazoea na ndiyo maana Hawa "approve" documents kwa wakati ili watu wapate leseni wafanye Mambo mengine.
Maoni Yangu : serikali/wahusika watafute njia nzuri ya uwajibikaji ili kuepusha kelo Kama hizi kwa wateja haiwezekani mtu afatilie leseni wiki nzima Tena ana renew na documents zote zipo hapa kutakua na urasimu siyo BURE.