JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Waongozaji hao wa Makarani wamedai kuwa waliahidiwa kulipwa laki moja kwa awamu mbili lakini hadi kufikia Agosti 28, 2022 hawakuwa wamelipwa.
Mwenyekiti wa Kamati ya Sensa wa Chemba ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Samson Chacha alikutana na waongozaji hao wa makarani hao na kuahidi kuwa watalipwa kama walivyokuwa wamepangiwa.
Source: Azam TV