Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,889
- 8,470
- Thread starter
- #61
Kwa akili yako finyu unajua Samia aliteuliwa na MboweAhsante kwa kuthibitisha nilichokisema.
Pole sana kwa kuumizwa na Samia.
Kwa akili yako finyu unajua Samia aliteuliwa na MboweAhsante kwa kuthibitisha nilichokisema.
Pole sana kwa kuumizwa na Samia.
Ili ujinga wako ukamilike ongezea hata ndege na Bwawa ,Sgr vilijengwa na KikweteBomba la gesi?? Una akili kweli? Ni Bomba la mafuta.... Maana Bomba la gesi lilijengwa na Kikwete ndio maana nakushangaa kivipi unasema ni JPM.
Punguzeni mahaba Hadi mnaongea uongo.
we ulishawahi kumpa nchi nani? Kaa utulie kima wewe acha kelele.Unateseka sana msukule wewe.
Hilo shetani lenu la Chattle halirudi tena na kamwe haturudii kuwapa nchi mijitu ya aina yenu
Hao nyumbu wanauzi sanawe ulishawahi kumpa nchi nani? Kaa utulie kima wewe acha kelele.
🤣🤣🤣Kwa akili yako finyu unajua Samia aliteuliwa na Mbowe
Kuna watu hivi sasa, wakati mimi na wewe tukichat hapa JF, Wanatafuna nchi kwa kasi ya 6G.







!! AhsanteToka akiwa mwalimu sekondari Sengerema, Mkemia katika kiwanda cha Nyanza cha Voil, Ubunge, Uwaziri na Urais siku zote Dk Magufuli alitumia akili yake kwa manufaa ya taasisi iliyomwajiri kwa ufanisi mkubwa usio kuwa na shaka yoyote katika jamii. Matunda yake yanaonekana kwa macho ya damu hata hisia zimetekwa mioyoni mwa wananchi wa kawaida.Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 90 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika. Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli City Dodoma.
Mpe elimu huyoToka akiwa mwalimu sekondari Sengerema, Mkemia katika kiwanda cha Nyanza cha Voil, Ubunge, Uwaziri na Urais siku zote Dk Magufuli alitumia akili yake kwa manufaa ya taasisi iliyomwajiri kwa ufanisi mkubwa usio kuwa na shaka yoyote katika jamii. Matunda yake yanaonekana kwa macho ya damu hata hisia zimetekwa mioyoni mwa wananchi wa kawaida.
Hakuwa na nafsi na watu wenye akili za wizi na ufisadi wote walikiona cha moto kwa manufaa ya umma.
Magufuli City nimeiona kwa macho ambapo tafsiri ya maono yake yanaonekana kwa wote hata kama kwa sasa hayupo lakini walioko ambao wanakula kwa sababu ya juhudi za JPM lakini wanajisaidia kwenye kiganja hicho watapata laana isiyosafishika kamwe maishani mwao.
Kazi za JPM zitaishi daima hata kama watainuka watu wa jinsi gani na nguvu zipi hawataweza kufifisha uwezo wake na kazi alizowafanyia Watanzania.
Sawa mkuuAhsante kwa taarifa...
we mende mwenzako anazungumzia bomba la kutoka uganda mpaka tanga we unaleta sijui bomba la gesi blaah blaah blaaah .....YOGAAAAAAA weraaaayuuuu jukwaa limevamiaa uko wapi .....tuletee brandz basi maana humu mmhhhh rete rete rete vitu watu tutulize vichwa tuanze kuvunja kuvunja CODEBomba la gesi?? Una akili kweli? Ni Bomba la mafuta.... Maana Bomba la gesi lilijengwa na Kikwete ndio maana nakushangaa kivipi unasema ni JPM.
Punguzeni mahaba Hadi mnaongea uongo.




Jibu hojawe mende mwenzako anazungumzia bomba la kutoka uganda mpaka tanga we unaleta sijui bomba la gesi blaah blaah blaaah .....YOGAAAAAAA weraaaayuuuu jukwaa limevamiaa uko wapi .....tuletee brandz basi maana humu mmhhhh rete rete rete vitu watu tutulize vichwa tuanze kuvunja kuvunja CODE![]()
we nae nijibu hoja gani....?Jibu hoja
Hoja ni mji wa Magufuli Dodomawe nae nijibu hoja gani....?
au unataka tuanze kubishana hapa na mim kushindana siwezi kamwe.....
Soma hiyo post hapo chini, yeye anadai Bomba la gesi ni kazi ya JPM. Sasa Mimi na wewe nani mende? Acha kudandia mada usizoelewa mpuuzi wewe, I'm not your size.we mende mwenzako anazungumzia bomba la kutoka uganda mpaka tanga we unaleta sijui bomba la gesi blaah blaah blaaah .....YOGAAAAAAA weraaaayuuuu jukwaa limevamiaa uko wapi .....tuletee brandz basi maana humu mmhhhh rete rete rete vitu watu tutulize vichwa tuanze kuvunja kuvunja CODE![]()
![]()
![]()
![]()
Ila ataendelea kubaki Akili kwako ukiona mboba la gesi ,bwala la umeme,treni NK.
Haya basi bomba la gesi ni kazi ya Mbowe.Soma hiyo post hapo chini, yeye anadai Bomba la gesi ni kazi ya JPM. Sasa Mimi na wewe nani mende? Acha kudandia mada usizoelewa mpuuzi wewe, I'm not your size.
Inakujabila picha?
Waliokuwa wanahujumu Taifa hili na kushirikiana pamoja na Mabeberu ni viongozi wakubwa wa Taifa hili.............In Magufuli Voice😳


Hujaeleweka