wenzetu majirani kenya hapo rais wao amewapandishia mshahara kwa asilimia 12,ilihali wao wakati wa Corona waliwekwa lockdown ili sisi Tanzania tukipiga kazi masaa 24,kweli kukaa karibu na kiwanda sio wepesi wa kupata kazi
Tanzania inaungana na mataifa mengine katika kuazimisha siku hii ambayo itakuwa ni mara ya pili kwa Rais Samia Hassan kuwahutubia wafanyakazi baada ya kushika wadhifa huo...