OYOOOOOOOOOOOOTAYARIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Increament ya buku 2 hadi 5 au 10 unaweza iona,Kasema lile jambo letu lipo so tusubili mwezi wa 7pengine tutaona chochote
Nini?TAYARIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Jamaa unajua kupopoa mawe aiseeNdio imeisha hiyo, hakuna cha nyongeza ya mshahara wala marupuru, zaidi ni blah blah tupu.
Chenga kibao, ahadi kibao, figure&facts ni zero.
Aya...goal 3 bilaMama 3- watumishi 0
Wafanyakazi wasubiri lini tena wakati mwaka jana kwenye Mei mosi alisema full package ya nyongeza ya mishahara ataileta Mei Mosi ya mwaka huu?Kasema lile jambo letu lipo so tusubili mwezi wa 7pengine tutaona chochote
Wamepigwa chenga tamu sana. Wameambiwa mpaka mahesabu yafanyike ndio waoneNdio imeisha hiyo, hakuna cha nyongeza ya mshahara wala marupuru, zaidi ni blah blah tupu.
Chenga kibao, ahadi kibao, figure&facts ni zero.
Uzuri hajasema ataongeza mshahara hivyo wasije kulalamikaWafanyakazi wasubiri lini tena wakati mwaka jana kwenye Mei mosi alisema full package ya nyongeza ya mishahara ataileta Mei Mosi ya mwaka huu?
Kama ameongeza chochote kwanini asiseme sasa kwenye Mei Mosi?
Kwani nyongeza ya mishahara ni jambo la siri, kubahatisha au kuunga unga mpaka watu wasubiri mpaka mwezi wa saba ili kujua ni kweli au hakuna kitu?
Unataka kusemaMakam wa rais wa USA alipatwa na nini
Yes inawezekana hataki kusababisha mfumuko wa beiKimuhe muhe cha urais ndicho kilikua kinamsumbua.
Wanafanya majadiliano na TuctaIncreament ya buku 2 hadi 5 au 10 unaweza iona,
Lkn ile ya kupanda kwa kima cha chini cha mshahara nadhani tusahau!!!