Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,505
- 44,618
Tuendelee kubeti tuu hamna namnawenzetu majirani kenya hapo rais wao amewapandishia mshahara kwa asilimia 12,ilihali wao wakati wa Corona waliwekwa lockdown ili sisi Tanzania tukipiga kazi masaa 24,kweli kukaa karibu na kiwanda sio wepesi wa kupata kazi