Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,677
- 26,142
Wewe ndio muoga zaidi. Unaongea "kishujaa" huku umejificha kwenye handaki. Duh.Wapinzani wa Tanzania wamekua kama kondoo vichwa chini baada wapambane kwasababu vyama vya kisiasa vipo kikatiba wanaogopa kufa Tatizo Mboe angekua kama Lissu au Lema ndo angalau wana roho Ngumu lakini mwenyewekiti Mboe muoga sana