Dodoma: Kambi ya Upinzani yanyang'anywa Watumishi, Wagoma kuandaa Hotuba, Katibu wa Bunge anawahujumu

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,262
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wameitisha mkutano na waandishi wa habari muda huu mjini Dodoma. Taarifa zaidi ya mkutano huo kukujia.

========

Moja kwa moja kutoka mjini Dodoma

Freeman Mbowe: Bunge lina watumishi zaidi ya 400 lakini kambi ya upinzani inao 4 tu, huu ni mkakati wa makusudi kuhakikisha kambi rasmi inakufa

Freeman Mbowe: Leo hatukuwasilisha hotuba ya Kiongozi wa Upinzani kwa sababu ya Bunge kusitisha utaratibu wa Kambi kuwa na ofisi na wafanyakazi

Freeman Mbowe: Kambi Rasmi ya Upinzani imeeleza kwa nini leo haikuwasilisha hotuba ya Kiongozi wa Upinzani Mheshimiwa Freeman Mbowe kwa sababu ya Bunge kusitisha utaratibu wa Kambi kuwa na ofisi na wafanyakazi

Freeman Mbowe: Watumishi wa upinzani walifukuzwa na Katibu wa Bunge Januari kutokana na mikataba kumalizika Disemba

Freeman Mbowe: Kanuni ya 16 (4) ya Bunge ndiyo iliyozaa Kanuni za kambi ya Upinzani, inaruhusu kambi kutunga kanuni zake

Freeman Mbowe: Nilipomfuata Katibu wa Bunge kumuuliza kulikoni unawafukuza hawa watumishi kama mbwa, akanijibu anafanya kazi kwa mujibu wa kanuni. Ajira zao watumishi msubiri Spika. Hadi leo kambi haina hata mtumishi mmoja. Hatuna hata mtaalamu mmoja wa kuandaa hotuba na kuchambua nayaraka

Freeman Mbowe: Alitegemea mimi niandae hotuba Segerea ambako hakuna sekretariet

Freeman Mbowe: Watumishi wa CCM hapa bungeni wapo na hawajafukuzwa kama wa kwetu

Freeman Mbowe: Sasa kwa hali hii tunapata wapi taarifa ya kuwasilisha bungeni?

Freeman Mbowe: Mikakati ya Katibu wa Bunge ni kuua upinzani. ndiyo jukumu alilokuja nalo

Freeman Mbowe: Baada ya kuona kuna tatizo kwa Katiba. Nilimwambia Spika anipatie kibali cha kuajiri lakini kanipa cha ajira 3. Hivi kweli watumishi watatu wasimamie wizara zote

Freeman Mbowe: Tangu Januari nimenyimwa hata Dereva.Tangu Januari sijatumia gari hilo la KUB na hawanipi stahiki zangu ambazo zipo kisheria

Freeman Mbowe: TAMKO: Hatutakuwa na hotuba za upinzani katika Bunge hili la Bajeti hadi pale watakaporuhusu kuajiri. PILI: Hatutakubali hotuba zetu kuhaririwa. TATU: Katibu wa Bunge afahamu upinzani ni watumishi wa watu na wameletwa hapa na watu

Freeman Mbowe: Spika aelewe Katibu wa Bunge ni tatizo.Amekuja kwa mkakati wa kutudhibiti

Freeman Mbowe: Hakuna mpango wa Kambi Rasmi kususia Bunge.... Tumeshindwa kuingia wote bungeni asubuhi kwa sababu wengi wetu tulikuwa Dar es Salaam kwa shughuli nyingine

Freeman Mbowe: Hotuba hazipo mpaka watakapokubali kufuata kanuni za Bunge

FB_IMG_1522855170113.jpg



 
Moja kwa moja kutoka dodoma
-----------------

Freeman Mbowe: Bunge lina watumishi zaidi ya 400 lakini kambi ya upinzani inao 4 tu, huu ni mkakati wa makusudi kuhakikisha kambi rasmi inakuwa inakufa

Freeman Mbowe: leo hatukuwasilisha hotuba ya Kiongozi wa Upinzani kwa sababu ya Bunge kusitisha utaratibu wa Kambi kuwa na ofisi na wafanyakazi

Freeman Mbowe: Kambi Rasmi ya Upinzani imeeleza kwa nini leo haikuwasilisha hotuba ya Kiongozi wa Upinzani Mheshimiwa Freeman Mbowe kwa sababu ya Bunge kusitisha utaratibu wa Kambi kuwa na ofisi na wafanyakazi

Freeman Mbowe: Watumishi wa upinzani walifukuzwa na Katibu wa Bunge Januari kutokana na mikataba kumalizika Disemba

Freeman Mbowe: Kanuni ya 16 (4) ya Bunge ndiyo iliyozaa Kanuni za kambi ya Upinzani, inaruhusu kambi kutunga kanuni zake

Freeman Mbowe: Nilipomfuata Katibu wa Bunge kumuuliza kulikoni unawafukuza hawa watumishi kama mbwa, akanijibu anafanya kazi kwa mujibu wa kanuni. Ajira zao watumishi msubiri Spika. Hadi leo kambi haina hata mtumishi mmoja. Hatuna hata mtaalamu mmoja wa kuandaa hotuba na kuchambua nayaraka

Freeman Mbowe: Alitegemea mimi niandae hotuba Segerea ambako hakuna sekretariet

Freeman Mbowe: Watumishi wa CCM hapa bungeni wapo na hawajafukuzwa kama wa kwetu

Freeman Mbowe: Sasa kwa hali hii tunapata wapi taarifa ya kuwasilisha bungeni ?

Freeman Mbowe: Mikakati ya Katibu wa Bunge ni kuua upinzani. ndiyo jukumu alilokuja nalo

Freeman Mbowe: Baada ya kuona kuna tatizo kwa Katiba. Nilimwambia Spika anipatie kibali cha kuajiri lakini kanipa cha ajira 3. Hivi kweli watumishi watatu wasimamie wizara zote

Freeman Mbowe: Tangu Januari nimenyimwa hata Dereva.Tangu Januari sijatumia gari hilo la KUB na hawanipi stahiki zangu ambazo zipo kisheria

Freeman Mbowe: TAMKO: Hatutakuwa na hotuba za upinzani katika Bunge hili la Bajeti hadi pale watakaporuhusu kuajiri. PILI: Hatutakubali hotuba zetu kuhaririwa. TATU: Katibu wa Bunge afahamu upinzani ni watumishi wa watu na wameletwa hapa na watu

Freeman Mbowe: Spika aelewe Katibu wa Bunge ni tatizo.Amekuja kwa mkakati wa kutudhibiti

Freeman Mbowe: Hakuna mpango wa Kambi Rasmi kususia Bunge.... Tumeshindwa kuingia wote bungeni asubuhi kwa sababu wengi wetu tulikuwa Dar es Salaam kwa shughuli nyingine

Freeman Mbowe: Hotoba hazipo mpaka watakapokubali kufuata kanuni za Bunge

Nikiripoti kutokea Dodoma mimi ni

Mwanahabari Huru
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wameitisha mkutano na waandishi wa habari muda huu mjini Dodoma. Taarifa zaidi ya mkutano huo kukujia. View attachment 734260View attachment 734261
Wanataka kusema nini?

Watu waliostaaribika sasa hivi wanafanya kazi halali na kwa bidii na kuimarisha miundombinu muhimu ya Nchi.

Hawa wahuni kutwa kuleta zogo tu hapa nchini.
 
Wanataka kutudanganya kuwa yalikuwa mahabusu siwaamini wanasiasa Wa Sina yeyote
 
Hawa jamaa wamechuja sana kwa ujinga wa viongozi wao,matamko kila kukicha utekelezaji sifuri,hapo utakuta wanataka kujitutumua tena wakati jamaa wiki nzima walikua wametulizwa ngomeni na hali ni shwari ,bado akili yao haijajityuni kwamba hii si awamu ya nne ,ni awamu ya tano
 
Hawa jamaa wasipo badili namna ya kufanya siasa wataumbuka utawala huu sio ule

Wabadili mbinu kwa kuwa wamebadili mbinu watawala matamko,maandanamo na kauli tata zitawapeleka kubaya
kuna sehemu tata zaidi ya jela na kupigwa pyu pyu?
 
Back
Top Bottom