Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,773
Kiukweli Mbowe kashindwa kuongoza na hafai kazi kulalama vitu visivyo vya msingi. Anaongoza chama kama anaongoza familia yake hahahaaa bila mabadiliko ya kweli ya kiuongozi hii nchi itakosa wakosoaji wa kweli wa serikali wanaopenda maendeleo.