nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
i can smell your fearHawa jamaa wamechuja sana kwa ujinga wa viongozi wao,matamko kila kukicha utekelezaji sifuri,hapo utakuta wanataka kujitutumua tena wakati jamaa wiki nzima walikua wametulizwa ngomeni na hali ni shwari ,bado akili yao haijajityuni kwamba hii si awamu ya nne ,ni awamu ya tano