Dodoma: Hatimaye Polisi wamkabidhi Tundu Lissu gari lake alilomiminiwa nalo risasi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,928
221,320
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo 17/05/2024 amekabidhiwa lile gari lake alilokuwemo siku mawakala wa Shetani walipoamua kumuua baada ya kushindwa kujibu hoja zake.

Pichani: Lissu akilikagua gari hilo kabla ya kuondoka nalo

Screenshot_2024-05-17-16-50-32-1.png

Screenshot_2024-05-17-17-50-12-1.png
 
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo 17/05/2024 amekabidhiwa lile gari lake alilokuwemo siku mawakala wa Shetani walipoamua kumuua baada ya kushindwa kujibu hoja zake.

Pichani: Lissu akilikagua gari hilo kabla ya kuondoka nalo

View attachment 2992664
Serikali inapaswa kulifanyia service kubwa kwani inahusika katika kulichakaza!
 
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo 17/05/2024 amekabidhiwa lile gari lake alilokuwemo siku mawakala wa Shetani walipoamua kumuua baada ya kushindwa kujibu hoja zake.

Pichani: Lissu akilikagua gari hilo kabla ya kuondoka nalo

View attachment 2992664
Hilo gari halitakiwi hata kuoshwa, liende kuhifadhiwa hivyohivyo kama sehemu ya kumbukumbu ya udhalimu wa awamu husika wakati wa tukio.
 
Polisi bila aibu wameikalia kimya hii kesi. Aiseeh. Yani wameshindwa hata kufanya upelelezi wa kinafiki.
Nadhani tusiwalaumu polisi kwa sababu hili liko juu ya uwezo wao. Aliyetoa amri ameshatangulia mbele za haki, Samia ndiye alitakiwa atoe amri ili mambo yawekwe hadharani. Kimsingi upelelezi wa hii kesi ni mrahisi sana, sema waliohusika kwenye kutekeleza uovu watajitetea kuwa walikuwa wanatekeleza maagizo kutoka juu.
 
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo 17/05/2024 amekabidhiwa lile gari lake alilokuwemo siku mawakala wa Shetani walipoamua kumuua baada ya kushindwa kujibu hoja zake.

Pichani: Lissu akilikagua gari hilo kabla ya kuondoka nalo

View attachment 2992664
Is it drivable? At last shetani kashindwa . The president in the making! haya yote siyo bure!
 
Back
Top Bottom