mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'