johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini mh Patrobas Katambi amesema biashara ya ukahaba imeshamiri wilayani kwake na wanunuzi wakuu wa Huduma hiyo ni wabunge na zaidi wa upinzani.
Katambi amesema kuanzia sasa hawatawakamata makahaba pekee bali pamoja na wateja wao. Amedai kuwa anazo namba za magari ya viongozi wa serikali na Ngos zinazobeba malaya usiku na kuwaonya wahusika kuacha huo uchafu.
Katambi alitaka kumtaja mmoja wa wabunge wa upinzani ambaye ni kinara wa kununua " Huduma " za makahaba lakini akasema maadili yanambana lakini atawataja hivi karibuni.
DC Katambi alikuwa ameamshwa na waandishi wa habari usiku wa manane ili akashuhudie makahaba wanavyojiuza katika maeneo ya Uhindini na bunge pubs.
Source Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Katambi amesema kuanzia sasa hawatawakamata makahaba pekee bali pamoja na wateja wao. Amedai kuwa anazo namba za magari ya viongozi wa serikali na Ngos zinazobeba malaya usiku na kuwaonya wahusika kuacha huo uchafu.
Katambi alitaka kumtaja mmoja wa wabunge wa upinzani ambaye ni kinara wa kununua " Huduma " za makahaba lakini akasema maadili yanambana lakini atawataja hivi karibuni.
DC Katambi alikuwa ameamshwa na waandishi wa habari usiku wa manane ili akashuhudie makahaba wanavyojiuza katika maeneo ya Uhindini na bunge pubs.
Source Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!