Namkunda OG
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 827
- 1,048
Hawa ma DC wa awamu ya tano sijui huyu baba amewatoa wapi? Yani niwajinga
Baba mwenyewe zinampwaya, tutegemee nini kwa watoto!?
Kwa hyo hili karai lenyew lilipata tiba?pumbavuMkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'
Baba yao Ibilisi ndio anawafundisha haya, wala si wa kuwashangaa.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'
NI KWELI KWANI HAO WAPINZANI HAMUWAONI KAMA VICHAA?
Amesahau alikotoka huyu bwege
Ndio uwezo wake wa kufikiri ulipoishiaMkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'
sisi akili tunazo nyie ndiyo mnahangaika na mashoga wenzenuWewe mwenyewe kichaa ndiyo maana unawajua vichaa wenzako
sisi akili tunazo nyie ndiyo mnahangaika na mashoga wenzenu
chakuchapia unacho au unawashwawashwaSibishani na watoto nisije nikakuchapa bure
Tuombe radhi sie warombo wenye meno ya rangi ileNa mijino yake michafu ile kama anakula kinyesi
Bora afunge na pini ajistiliBaba mwenyewe zinampwaya, tutegemee nini kwa watoto!?
Jana nayo zezeta lingine likaweka mtandaoni.
Ndio unajiuliza Magu kawafanya mini hawa vijana? Mbona wameharibikiwa juu mpaka chini na mbele mpaka nyuma?View attachment 1197438
Ndio uwezo wake wa kufikiri ulipoishia
Kwan ni msukuma?Msukuma ni shida akipata
Kwahiyo zinawadondoka?Mbaya zaidi inapwaya kiunoni.