Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,532
- 34,845
Madaraka hulevya!Duh hawa viongozi vijana kila kukicha busara inapungua
Madaraka hulevya!Duh hawa viongozi vijana kila kukicha busara inapungua
Akangaarishe meno yake kwanza .mdomo mchafuuMkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'
Kwa lugha rahisi ni kwamba tishio la ndege lipo kukamatwa iwapo itatua kwenye nchi ya Steyn hivyo suala la kulipa deni lipo palepaleJana nayo zezeta lingine likaweka mtandaoni.
Ndio unajiuliza Magu kawafanya mini hawa vijana? Mbona wameharibikiwa juu mpaka chini na mbele mpaka nyuma?View attachment 1197438
Tatizo kwangu mm sio manene,tatizo kwangu mm wakinibuwa kwa hoja wanabeba bundukiMkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'
huyo katambi mbona yeye inaonekana amechelewa kupewa kitanda pale MirembeMkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'
Hii ofa ni nzuri wapinzani wachangamkie kabla haijaisha.Hongera mkuu wa wilaya.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'
Kapatia kabisa.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'
jinga kabisa . domo kama bakuli .. hajui tofauti iliyopo kati ya maendeleo ya vitu na watu mji wa dodoma hauna hata maji yeye anasifia ujenzi wa reliMkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'
Amesahau alikotoka huyu bwege
Kwa lugha rahisi ni kwamba tishio la ndege lipo kukamatwa iwapo itatua kwenye nchi ya Steyn hivyo suala la kulipa deni lipo palepale
Nimejipa muda kusoma na kutafakari inakuwaje mtu mwenye akili timamu na madaraka anaweza kuzungumza hivi.Nimejaribu kusoma na kusoma na ninachokiona ni hofu na kila mteule hajiamini na anaitafuta kick ya kusikika.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobasi Katambi amenena haya kwa wapinzani
'Msimu huu wa Bunge natoa ofa ya tiba kwa 'Wanasiasa wa upinzani top 5 wagonjwa wa afya ya akili', wasiotambua uwepo wa vita ya kiuchumi Duniani na jitihada za Serikali ya JPM kuikomboa Tanzania kiuchumi, watatibiwa bure Hospitali ya Vichaa ya Milembe Jijini Dodoma.'