Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,623
- 16,377
ππππ Acha hizo mkuu. Stendi yenyewe bado inajengwa mkuu, nasikia kutakuwa na stendi nne...Mara unasikia Dodoma imejengeka
Unapanda basi kuanza safari
Mara unafika stendi ya nanenane
Unaambiwa ndio umefika stendi kuu
Mara paa! Unadondoka na kuzimia
Unapelekwa hospital kuu ya Dodoma
Unaamuka unauliza uko zahanati gani
Mara unaambiwa upo hospitalkuu dodoma
Mara paa! Unazimia tena
Unapelekwa muhimbili unazinduka
Unazani ulikua unaota
πππ
Mwanza!!!! Dodoma itafute Kwanza Tanga,mbeya na Arusha huko sio mwanza.Jiji la mwanza hata Kwa dawa haiwezi fikia hapo.
Hebu nikupostie mwanza kidogo halafu ulinganishe Na Dodoma na ujitathimini upyaView attachment 1045735View attachment 1045736
Sent using Jamii Forums mobile app
Utazikuta zimejaa tele
Upo bwana mdogo?
Bado sana mkuu.nasikia ukitoka katikati ya mji kwenda kokote km 15 unakutana na mapori kibao unaisi uko karibu kuingia mkoa mwingine kumbe unaingia wilaya nyingine au uko bado mjini. Majengo ni ya kuesabu nasikia majengo ya gorofa 7 hayazidi 20
Mkuu tuache masihara,dodoma sehemu za misosi ya maana tena kwa bei chee ni nyingi sana sana,dar unaweza zunguka kutafuta msosi wa maana ukaishia kwa mama niongeze mchuzi nitilie maharageAcheni ufala nyie. Dodoma ndio jiji linalokua kwa haraka kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga. Hata Dsm itapitwa maana serikali inalijenga jiji la Dodoma KWA MAKUSUDI. Tutafutane kwenye huu uzi baada ya miaka mitano muone picha zake.
Tena ungekua muungwana hata ungepiga picha ya jengo la LAPF hapo Makole ukaweka kisha ndio uulize viswali vyako uchwara. Shwaaaiin
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu dar hawali maharage sana kama mikoani uku bora ule utumbo wakuku vidaki filigis maana kunahotel baadhi ya vitu kwenye kuku hawauzi. Dar mbona msosi kawaida kutokana na mzunguko mkubwa wa hela tofauti na mikoani kupata 20elfu at a muza madafu kitu cha kawaida tena ni faidaMkuu tuache masihara,dodoma sehemu za misosi ya maana tena kwa bei chee ni nyingi sana sana,dar unaweza zunguka kutafuta msosi wa maana ukaishia kwa mama niongeze mchuzi nitilie maharage
Sent using Jamii Forums mobile app
πππView attachment 1045770
jaman tuweni wakweli eti hili nalo n jiji au jiji la ccmkwa style hiii kweli waliompiga lissu risasi mgewapatia wapi ka njia yenyewe hata pikipiki tu ni changamoto
Mara unasikia Dodoma imejengeka
Unapanda basi kuanza safari
Mara unafika stendi ya nanenane
Unaambiwa ndio umefika stendi kuu
Mara paa! Unadondoka na kuzimia
Unapelekwa hospital kuu ya Dodoma
Unaamuka unauliza uko zahanati gani
Mara unaambiwa upo hospitalkuu dodoma
Mara paa! Unazimia tena
Unapelekwa muhimbili unazinduka
Unazani ulikua unaota
π±π΅ duh! Mbona kumechoka sanaView attachment 1045775
hakika kuna tofauti kubwa sana kwenye hili jiji la kutamkwa yaaan "KWANZIA LEO DODOMA NI JIJI" mkulu sijiu alikua anawaza niniila hongereni maendeleo hayana chama wala ukanda
haliwezi fikia dar kamwe labda mwanza na arusha
We jombaa sio mzima.. wengine tulikanyaga dom 2006 hivyo tukipita saa hii tunaona transformation ya ukweli..
Dom itakuja kuwa jiji la kisasa kuliko yote Tz maana linakuwa kwa plan japo Dar ina league ya peke ake
Sent using Jamii Forums mobile app
hata pangaboy hakunaπππView attachment 1045798
dodoma airport siku hii abiria walikua wengi sana ndege zote ziliisha
watu tukawa tunacheza basketball ndege haamnaaa
Mwanza na Arusha zinaweza kupitwa ingawa ni kwa muda mfupi.. Dom ipo planned sanahaliwezi fikia dar kamwe labda mwanza na arusha
nasikia wamekabiziwa wazee wa kuvuruga manispaa ya jiji la Dodoma kutoka CDA iuliwe. Subiri kusikia MTU kapewa kiwanja katikati ya barabaraMwanza na Arusha zinaweza kupitwa ingawa ni kwa muda mfupi.. Dom ipo planned sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Dodoma onyo kbs!Acheni ufala nyie. Dodoma ndio jiji linalokua kwa haraka kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga. Hata Dsm itapitwa maana serikali inalijenga jiji la Dodoma KWA MAKUSUDI. Tutafutane kwenye huu uzi baada ya miaka mitano muone picha zake.
Tena ungekua muungwana hata ungepiga picha ya jengo la LAPF hapo Makole ukaweka kisha ndio uulize viswali vyako uchwara. Shwaaaiin
Sent using Jamii Forums mobile app