Nitaanza kuchaji kutumika kwa hili jina!
nilikuwa nawadanganya mpenzi.
Last wiki nilikuwa namrudi kandabongoman bafuni! Inde monieeee! inde moniee! Dah! nilisahau kama bafu lenyewe sijadeki siku nane na nusu , Kulaleki! niliteleza nikaanguka kichwa kichwa,nimevimba shavu la kushoto na mpaka leo shingo siwezi kugeuza nyuma ,inabidi nitumie site mirror.
Usafi muhimu wajameni!..... tusemeni amen!
<br />hahaha! kumbe?basi wamenishikia bango imebidi nitoroke kidogo.<br />
<br />
Ukiendelea kushangaa! nitalembea na ile video mzuka umekupanda ukalitupa blauzi kwa mashabiki.<br />
<br />
khaaaa!
<br />Ukiendelea kushangaa! nitalembea na ile video mzuka umekupanda ukalitupa blauzi kwa mashabiki.
Hivi karibuni kadi atatupa,acha aolewe bana spanish lady ningemuonea wapi ?nitatangaza mgogoro wa katiba kamanda! halaf cheusi anaolewa lini? nataka nikaharibu shuhuli. Lol
ukiona mtu anatupa blauzi ujue yuko fiti kifuani na hana tumbo zembe.Ukiendelea kushangaa! nitalembea na ile video mzuka umekupanda ukalitupa blauzi kwa mashabiki.
makhirikhiri utavimba miguu tutacheza bluzi tu,tuna nesanesa.nitakusemea kwa uporoto jana umeniambia tucheze makirikiri.
<br />makhirikhiri utavimba miguu tutacheza bluzi tu,tuna nesanesa.
<br />Ndugu yangu AD...kuna mtu nammiss na bahati mbaya sijamjua ni nani...kazi ninayo...
Huyo ni Sweetlady tu!! Na log off nimtafute.....
<
sweetlady hela ya bundle imemuishia.
hawa Arsenal wananichanganya na kuniharibia mood juzi tumefungwa 4-3 na kati ya hayo 4 mawili tumejifunga wenyewe,weekend hii siangalii mpira friday-sunday ni Husninyo time,haya onyesha meno yako yote basi na zile dimples nizipendazo.nimekutafuta juzi tucheze spanish guitar ukanichunia. Sijui nilie.