Do you have guts??? Basi "Brag" a bit....

Do you have guts??? Basi "Brag" a bit....

Kaka nimekumisi sana. Brag about something else other than wifi, manake tunajua anakupenda sana,lol

Yaani KIng'asti nimekumisije ujue? Leo tuonane baadaye for lunch..a good one. Baada ya hayo, naombe kubrag...lol
 
Lunch kaka, ina maana my favorite itakuwa desert ama? Hahaha, u can brag a bit but not about ur sweetie, plz! I beg'ooooo!
Afu usipotee hivyo banaa, aaggghhhrrr!
Yaani KIng'asti nimekumisije ujue? Leo tuonane baadaye for lunch..a good one. Baada ya hayo, naombe kubrag...lol
 
Lunch kaka, ina maana my favorite itakuwa desert ama? Hahaha, u can brag a bit but not about ur sweetie, plz! I beg'ooooo!
Afu usipotee hivyo banaa, aaggghhhrrr!

hapo wala usijali your favourite itakuwepo kama kawa King lol karibu.....sana😛oa
 
You ar on my top list of world's best brothers! See you there and then, ngoja nisafishe tumbo,lol! Can't wait to see u both (nisipomtaja wifi hapa unajua wivu wake kama wa nyoka,lol)
hapo wala usijali your favourite itakuwepo kama kawa King lol karibu.....sana😛oa
 
he he he, huyu Lizzy hana maana
kalazimisha kongosho kuwa konnie
anyway, nimemsamehe

Ngoja nianze kubrag
sema SUUU

Be my guest Konnie (nimeona ndo jina la town siku hizi).
Actually u will give me an insight on where to explore more, hehehe!
 
Huu mwanya kama pengo nikitamka tu hilo neno king'amuzi chote kitanyeshewa mvua ya mate, na mwamvuli sina! Nimesemea kwenye kikombe, umeskia? Naenda kumwaga mate nikirudi nikute umebrag baraza limejaa!
he he he, huyu Lizzy hana maana
kalazimisha kongosho kuwa konnie
anyway, nimemsamehe

Ngoja nianze kubrag
sema SUUU
 
he he he, kubrag raha
naskia raha mie jamani

Huu mwanya kama pengo nikitamka tu hilo neno king'amuzi chote kitanyeshewa mvua ya mate, na mwamvuli sina! Nimesemea kwenye kikombe, umeskia? Naenda kumwaga mate nikirudi nikute umebrag baraza limejaa!
 
Unantania eh? Brag bana, ama unamuogopa bi mdogo michelle?
Mie huko sihamii, nimekuwa wa viwanja tu! Mambo ya kukagua mashati kama yana vifungo nani anataka sasa? Hehehe
he he he, kubrag raha
naskia raha mie jamani
 
I hate you.

Siri nakunong'oneza
leo usiku kanambia anamfukuza, eti analowesha bed.

Ndo ivo.

Unantania eh? Brag bana, ama unamuogopa bi mdogo michelle?
Mie huko sihamii, nimekuwa wa viwanja tu! Mambo ya kukagua mashati kama yana vifungo nani anataka sasa? Hehehe
 
You know you can't hate me, hehehe!

Aisee, umbea nafasi! Kumbe Michelle ni wa bukoba eeh? Muache amtoe jasho, si anajidai mjanja? Mjini kugumu!

Sasa si ungebrag na ile new mansion na new car uliyopewa xmas bana, ama unaogopa mwali na dr mpolee wasione?
I hate you.

Siri nakunong'oneza
leo usiku kanambia anamfukuza, eti analowesha bed.

Ndo ivo.
 
Mbona sina cha ku "brag" mmh... Ngoja ntafute....
 
Back
Top Bottom