Do we really need TAKUKURU?

Do we really need TAKUKURU?

Mkuu sio TAKUKURU, NI IDARA ZOTE ZINATUMIKA KISIASA
1) UHAMIAJI- mara huyu sio raia, mara huyu raia, na juzi wamemgongea RA Muhuli wa EXIT wa pale NIA ili ionekane kuwa ametoka nje siku ya tukio akuwepo
2) JWTZ- Kama mlivyomsikia Shimbo+ issue ya Meremeta
3) POLICE- jinsi wanavyoshughulikia watu kutokana na siasa zao ( issue ya Shibuda na yule jamaa wa CCM)
4) TISS-Kama inavyojulikana
5) NEC-Kama inavyojulikana
6)TCA (Mawasiliano)-Hawa jamaa walikuwa hawajuhi zile MSg z kumkashifu Slaa zinatoka wapi
7)TBC, DailyNEws,HLeo-Hivi ni Vyombo vyaq Habari vya Umma lakini vinafanya kazi ya CCM
8)..........
9)..........

je kuna tofauti na mambo ya museveni hapo jirani?
 
Jamani kama kuna yeyote anayelifahamu jambo hili anijuze, nakumbuka niliwahi kusoma mahali kwamba Chenge alitoa mgaho wa fedha za rada kwa bosi wa TAKUKURU. Hivi habari hizo zilianzia wapi?
 
Du! ndugu yangu ni ngumu kuivunja hiyo kitu kwakuwa ni wao walioiunda iwasaidie na imewasaidia sasa kuivunja lazima kuwe na hoja ya msingi bungeni tena hoja Binafsi (ntaongea na tundu Lisu) ambayo itakua against PCCB labda kuanzia haop. lakini hata hivyo haitavyo vunjwa ila itabadilishwa muundo na watumishi tu. Bongo hii kaka tunaishi kama tuta kufa kesho.
:israel:
 
hili la Takukuru kuvunjwa mbona wenye nia nzuri walishashauri tangu kipindi kile walipoitetea Richmond na baadae kuja kugundulika kumbe rushwa ilitawala.
Hiko ni kitengo cha kutetea maslahi ya mafisadi.
 
ivunjwe kabisa isiwepo maana inaendela kutoa mianya mingi ya rushwa kubwa na kupoteza pesa za walipakode
 
Enzi za Mwalimu ilikuwa ni idara ndogo tu na haikujulikana. Hili dude kama lilivyo liliasisiwa na Mkapa. Sasa lina makucha kila wilaya, kila mkoa lakini kazi zake ni sifuri. Haziongezi value yoyote kwa ustawi wa nchi hii. Badala yake pesa nyingi za serikali zinatumika kuliendesha. Linaibuka mara mojamoja kutetea mafisadi, au likigutushwa na wanaolitumia (kama raisi). Kwa vile halina kazi, limevamia mashuleni eti linatoa elimu ya rushwa. Badala ya watoto wetu kuachwa wasome, wanatumia muda kwenye midahalo yake isiyo na tija. Eti katika kuonyesha ubunifu, wakati wa kura za maoni ndani ya CCM, magari yake yalipigwa 'tinted' ili wasijulikane. Kipindi cha uchaguzi, walifunga vipaza sauti, wakipita mitaani kutoa elimu kama wauza vocha na vyandarua - wasomi wa vyuo vikuu hao. Kipindi kilichobaki (miaka minne na miezi 8 hivi, limelala fofofo labda atokee wa kuligutua kama chenge alivyofanya. Akiwa fisadi, linaact kumtetea, akiwa mwananchi, linachelewa kufika kwenye tukio hadi wahusika wanatimka. Lifutwe haraka sana.
 
kitendo cha Takukuru kujitwisha jukumu la kumsafisha Mzee wa Vijisenti kisanii ili kuwadanganya watanzania ,kimeitia aibu taasisi hiyo na kuonekana si lolote so chochote kwani hii mizungu tayari imesema si kweli kwamba mtuhumiwa hana hatia.
 
Tulilisema hili na tuka-attach SFO report. Takukuru walikuwa wanamsafisha Chenge kwa maji machafu. Walidhani SFO ni ya kuchezea kama mnavyochezea NEC; mlidhani wako mechanical?
Kwa serikali ya uingereza tunataka muwe makini zaidi na mtafakari sababu za hatua ya takukuru kumsafisha Chenge. Imeficha mambo mazito ndani yaani TZ tuna vigogo wengi walio juu ya sheria, na ndiyo hao wanaochochea machafuko kwa 'kununua' vyombo vya dola na kuviendesha kwa remote
 
Tulilisema hili na tuka-attach SFO report. Takukuru walikuwa wanamsafisha Chenge kwa maji machafu. Walidhani SFO ni ya kuchezea kama mnavyochezea NEC; mlidhani wako mechanical?
Kwa serikali ya uingereza tunataka muwe makini zaidi na mtafakari sababu za hatua ya takukuru kumsafisha Chenge. Imeficha mambo mazito ndani yaani TZ tuna vigogo wengi walio juu ya sheria, na ndiyo hao wanaochochea machafuko kwa 'kununua' vyombo vya dola na kuviendesha kwa remote
Hivi sheria zinasemeje? Hakuna jinsi tunaweza washitaki hawa? i.e chenge na takukuru kwa upotoshaji wa makusudi ili khali wakiwa na dhamana za uongozi wa umma?
Na hii si aibu ya takukuru tu bali ni aibu ya serikali nzima ya jk.i mbaya sana hii.
 
JF members,
I have been following the perfomance of Takukuru for long now. Every careful citizen will know that it have never been pro country. reading Mwananchi today reminded me of their denial of any bribery around Richmond deal. Remember CCM and their kura ya maoni? We know bribery was the game and no one to date is on court! Now they decisively have decided to be "face makers" of big names like Chenge!

We all know the victims of this toothless dog are petty thieves. I in no means say they should stop deaing with petty bribers but my question is why are big names untouchable?

Now, I as a patriot and who loves my people, I suggest that Takukuru get dissolved! I don't see it have any advantage to the welfare of our precious country than using our money!

My paper on table, let us discuss!
 
TAKUKURU wameprove kwamba wako pale kwa ajili ya maslahi ya watu fulani na kuzuga tu watanzania. Hata kama Chenge hausiki na rada walitakiwa kujua hizo bilioni moja anazomiliki ni za NGO ipi. Istoshe huo uchunguzi waliufanya lini hadi wakaja na riporti ya uchunguzi??
 
Siyo aibu kwa TAKUKURU pekee hata kwa rais wetu dr. Jakaya Kikwete kwani uozo wa TAKUKURU haujaanza leo. Umeanza tangu enzi za ndugu yetu Richmond lakini JK kafumba macho na masikio.. Sielewi atachukua hatua ya kumwajibisha Hosea mpaka amwibie mkewe au vipi. Kwakweli kuna siri nzito ndani ya TAKUKURU ya hosea ambayo wanajitahidi kuificha ndiyo mana wanatapata mara hivi mara vile. Tuzidi kumwomba Mungu aiokoe Tanzania kwani tunakoenda ni giza tupu.
 
Siyo aibu kwa TAKUKURU pekee hata kwa rais wetu dr. Jakaya Kikwete kwani uozo wa TAKUKURU haujaanza leo. Umeanza tangu enzi za ndugu yetu Richmond lakini JK kafumba macho na masikio.. Sielewi atachukua hatua ya kumwajibisha Hosea mpaka amwibie mkewe au vipi. Kwakweli kuna siri nzito ndani ya TAKUKURU ya hosea ambayo wanajitahidi kuificha ndiyo mana wanatapata mara hivi mara vile. Tuzidi kumwomba Mungu aiokoe Tanzania kwani tunakoenda ni giza tupu.
Mimi huwa mnanichefua kumwita huyo jamaa DR.
 
Kwani huyo mkurugenzi wa hiyo TAKUKURU yeye anausafi gani mbona naye ni the same fisadi tu...
tutaanza kumwanga ujinga wake na yeye hapa..
 
TAKUKURU wameprove kwamba wako pale kwa ajili ya maslahi ya watu fulani na kuzuga tu watanzania. Hata kama Chenge hausiki na rada walitakiwa kujua hizo bilioni moja anazomiliki ni za NGO ipi. Istoshe huo uchunguzi waliufanya lini hadi wakaja na riporti ya uchunguzi??

AIBU AIBU AIBU!

Huu ni uthibitiso wa namna pesa zinaibiwa na vigogo kwa kujifanya wana NGOs za kusaidia wananchi! Mswali machache kwaa Muheshimiwa CHENGE:
1. Hiyo NGO inaitwaje? Ilisajiliwa wapi? Nani viongozi wake?
2.Hizo pesa ziliingizwa kufanyia nini? Mchanganuo ulioombea pesa hizo uko wapi? Hakuna mfadhili anayetoa pesa nyingi hivyo kwa NGO kwa mkupuo.Hutoa kwa awamu ili kuhakikisha pesa inafanya kazi iliyokusudiwa.
3. Mfadhili hapitishi pesa kwenye account ya mtu binafsi.Iweje pesa nyingi hivi ilipitishwa kwenye account binafsi ya Chenge?Uwajibikaji kuhusu matumizi ya pesa hii uko kwa nani?
 
We need to think more if we need them or not...

1. Since they have been established, what have they really achieved for this nation?
2. What is the annual budget?
3. What is CID division in the police force doing? Isn't this a duplication of works?
 
Bado tunaihitaji TAKUKURU ila sio chini ya uongozi wa Dr E. Hosea, kaogea na kunywa maji anoyowasafisha nayo mafisadi.
 
Back
Top Bottom