Mzee Mwanakijiji Platinum Member Mar 10, 2006 33,474 39,987 May 8, 2010 #1 Kama hii nguzo ikianguka na kuwabanika watu au kuwaua watu watasema ni mapenzi ya Mungu au mapenzi ya nguvu ya mvutano!? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Kama hii nguzo ikianguka na kuwabanika watu au kuwaua watu watasema ni mapenzi ya Mungu au mapenzi ya nguvu ya mvutano!?
M Magezi JF-Expert Member Oct 26, 2008 3,359 692 May 8, 2010 #2 Sidhani kama watendaji wa serikali na mashirika yake wanatambua hilo.
Kiby JF-Expert Member Nov 16, 2009 6,897 4,620 May 9, 2010 #3 Duh, mzee mwanakijiji unanena kwa lugha za kimalaika au?