fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,955
- 22,654
WE JAMAA UNAPENDA KUJA NA ID TOFAUTI TOFAUTI ILA WATU WANAKUSHTUKIA HAHAHAHAHAH🤣🤣
halafu ni mbishi balaa asikuambie mtu, humbandui kwenye hoja yake mtabishana mwanzo mwisho, ni wachache aliwakimbia na kusalimu amri. Kubishana nae yataka uwe na pumzi vinginevyo anakutoa kwa knock out na anajipatia ushindi. Kuzipangua hoja zake ni shughuli pevu utulize kichwaPopoma siku hizi amepoa sana,zamani alikua anaondoka na Kijiji humu.
Hivi mwanangu unaijua chapuo? Ile ngoma yenyewe inayoitwa chapuoChapuo
Hivi mwanangu unaijua chapuo? Ile ngoma yenyewe inayoitwa chapuoChapuo
halafu ni mbishi balaa asikuambie mtu, humbandui kwenye hoja yake mtabishana mwanzo mwisho, ni wachache aliwakimbia na kusalimu amri. Kubishana nae yataka uwe na pumzi vinginevyo anakutoa kwa knock out na anajipatia ushindi. Kuzipangua hoja zake ni shughuli pevu utulize kichwa
Mimi si huyo GENTAMYCINE, mimi ni member mwingine tofauti, msinihusishe na huyo mtu sina unasaba nae. Ngoja aje mtagundua tofauti yangu na yakeSawa gnta
Ndiyo Slaa au Lissu?Yu wapi tramadol