Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 15,592
- 22,478
Wewe tetea. Hao hawatosheki na madaraka.Sio kila mtu ana obsess kiasi hicho na madaraka ukilijua hili halitakusumbua
Wewe tetea. Hao hawatosheki na madaraka.Sio kila mtu ana obsess kiasi hicho na madaraka ukilijua hili halitakusumbua
Nyumba gani? Iliyo chomwa moto?Tulia kukosa kwake nyadhifa sidhani inamuathiri kiasi hicho Kama tunavyomzungumzia yule dada ana hela vibaya mno,nyumba yake yenyewe ni hekalu, ana vitega uchumi vingi
Hata sisi pesa tunazo.Tulia kukosa kwake nyadhifa sidhani inamuathiri kiasi hicho Kama tunavyomzungumzia yule dada ana hela vibaya mno,nyumba yake yenyewe ni hekalu, ana vitega uchumi vingi
Na Salma Kikwete asingejiangaisha huko bungeni bila kusahau kutaka alipwe kama mke wa mstaafu.Kama mijengo na vitega uchumi vinatuliza roho kuliko madaraka, basi Samia na genge lake wasingefanya waliyofanya ili kujibakisha madarakani, maana wana pesa na ukwasi chekwa.
Ila kuna wanaume wana mioyo aisee. Hapa unakuta mwanaume kajikunja anapeleka moto mpaka jasho linamtoka. Dah!Stress zinazeeshaView attachment 3503651
Hiyo mbona ni pisi kabisa inatafunika vizuri mnoIla kuna wanaume wana mioyo aisee. Hapa unakuta mwanaume kajikunja anapeleka moto mpaka jasho linamtoka. Dah!
Nyumba gani? Iliyo chomwa moto?
Hakukidhi vigezo vya 'remote control' iliyoko msoga,Hivi kosa hasa la Tulia lilikuwa nini?
Hivi kosa hasa la Tulia lilikuwa nini?
Hata Samia ana hela lakini uraisi hataki kuachia,kukosa uspika mchezoTulia kukosa kwake nyadhifa sidhani inamuathiri kiasi hicho Kama tunavyomzungumzia yule dada ana hela vibaya mno,nyumba yake yenyewe ni hekalu, ana vitega uchumi vingi
Wanamsokota mbaya. Shetani huwa hana rafiki.Stress zinazeeshaView attachment 3503651
Kutunza hela ni kipaji.Tulia kukosa kwake nyadhifa sidhani inamuathiri kiasi hicho Kama tunavyomzungumzia yule dada ana hela vibaya mno,nyumba yake yenyewe ni hekalu, ana vitega uchumi vingi
Sio kila mtu ana obsess na madaraka wewe umewahi kumuona Tulia anagombea uraisi?Hata Samia ana hela lakini uraisi hataki kuachia,kukosa uspika mchezo
Tulia ataendelea kupokea mshahara wa spika mstaafu mpaka afariki so yule njaa Hana nashangaa watu wanavyomkejeliKutunza hela ni kipaji.
Nilifika kijiji kimoja na kuna aliyewahi kuwa waziri ana vi assets kadhaa si kulingana na hadhi yake, Ila ameajiriwa na mtu binafsi kwa sasa.