Bwashee Hata ungeandika kwa herufi ndogo ungeeleweka tu, povu la Nini, kwani barabarani mnaingia sangapi?SOMETIME MUWE NA AIBU MAANA KU COMMENT UJINGA KAMA HUU. WIZI UITWE WIZI TU NA HII NI AIBU KUBWA KWAMBA MMESHINDWA KUPIGANA VITA WENYEWE HADI RAIS AWAPIGANIE
Aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge lililopita, Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM ametangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225.
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) ametangazwa kupata kura 37,591 katika nafasi ya pili.
PIA SOMA
= > Uchaguzi 2020 - Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia
Dear hongera sana kwa kupiga kura,Ila ukweli utabaki mwaka huu huyu fisiem wametuamulia yaani huez amini huyo Rashid Gwajima wanaweza wakamtangaza ameshinda. Akati mshindi ni Halima..Umeona Mbeya walichomfanyia sugu
Unashindana na watu wa coRRROmbia!?Sasa kama ameshindwa kihalali unataka kuvumilia nn? Sugu alikuepo kwwnye kituo cha kura mwanzo mwisho
Mpaka nijue kwanza COROMBIA iko wapi..na walifanya nn ndio nitafanya maamuziWapinzani kwa kuvumilia ushenzi huu ,hatuwezi toboa jaribuni kuiga kwa Raila Odinga mjue kwa nini anaheshimika Kenya, au mfanye yale ya Corombia ili kuimaliza ccm. Watu wakufanya kazi hizo wapo.