Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia atangazwa mshindi Mbeya Mjini, Sugu apoteza kiti chake cha Ubunge

Mitandao na upambe wa kijinga wa vijana wa ufipa ndo umewaponza Wagombea wengi wa CDM katika Uchaguzi huu.
Sasa kwa Mfano Dr. Tulia aliwekeza nguvu nyingi zaidi katika kusaidia jamii na kujitoa katika matukio mbalimbali ya kijamii kabla na wakati wa uchaguzi, Ila ndugu yangu Sugu yeye alikuwa busy tu kufoka twiter na kujifariji mitandaoni na kwenye vyombo vya habari halafu unategemea kushinda.

Iwe fundisho kwa Wapinzani wote jaribuni kuwekeza nguvu kwa Wananchi huko na siyo kuendelea kubwabwaja tu huku online.
Upinzani Ni mhimu Sana katika kuleta maendeleo ya Taifa Ila lazima ujitambue kwanza.

Jamaa waliwekeza Twitter na kugoma goma...wenzao wakawekeza kwa wananchi
 
Mitandao na upambe wa kijinga wa vijana wa ufipa ndo umewaponza Wagombea wengi wa CDM katika Uchaguzi huu.
Sasa kwa Mfano Dr. Tulia aliwekeza nguvu nyingi zaidi katika kusaidia jamii na kujitoa katika matukio mbalimbali ya kijamii kabla na wakati wa uchaguzi, Ila ndugu yangu Sugu yeye alikuwa busy tu kufoka twiter na kujifariji mitandaoni na kwenye vyombo vya habari halafu unategemea kushinda.

Iwe fundisho kwa Wapinzani wote jaribuni kuwekeza nguvu kwa Wananchi huko na siyo kuendelea kubwabwaja tu huku online.
Upinzani Ni mhimu Sana katika kuleta maendeleo ya Taifa Ila lazima ujitambue kwanza.
Kumbe hujui kitu,na kama unajua unajifanya kwa makusudi kutojua.
 
Wapinzani kwa kuvumilia ushenzi huu ,hatuwezi toboa jaribuni kuiga kwa Raila Odinga mjue kwa nini anaheshimika Kenya, au mfanye yale ya Corombia ili kuimaliza ccm. Watu wakufanya kazi hizo wapo.

Sasa kama ameshindwa kihalali unataka kuvumilia nn? Sugu alikuepo kwwnye kituo cha kura mwanzo mwisho
 
Its about time hao UVCCM nao waona faida ya bunge lisilo na upinzani.
Rais hata akiteua hamtazidi watu 50k.. mliobaki tutaisoma woote mtaani.

Na kuanzia leo nisione uvccm yoyote ananiomba buku ya kula..
 
Aliyekuwa Naibu Spika wa Bunge lililopita, Dkt. Tulia Ackson, kupitia CCM ametangazwa kuwa mshindi wa Ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 75,225.

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi (Sugu) ametangazwa kupata kura 37,591 katika nafasi ya pili.

PIA SOMA
= > Uchaguzi 2020 - Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia
Sugu asingepita ubunge hata iweje, wananchi wake walishamchoka kitambo. Yeye badala ya kuwapelekea maendeleo alikuwa bize kulumbana ili aonekane star bungeni huku akisahai wananchi wake.

Yeye alifikiri kuwa mbunge wa upinzani ni kubwabwaja tu bungeni na kupinga kila hoja. Kina Mbowe na Lissu ni watu wabaya sana shinda wajumbe, masikini Sugu sijuwi atarudia kuimba bongo fleva au kuwa mgema tembo.
 
Nasubiria matokeo ya jimbo 1 tu la Kawe baaaasiii. Kama kipenzi changu Halima akifanyiwa uhuni huu kama ni barabarani nitaingia.
Dear hongera sana kwa kupiga kura,Ila ukweli utabaki mwaka huu huyu fisiem wametuamulia yaani huez amini huyo Rashid Gwajima wanaweza wakamtangaza ameshinda. Akati mshindi ni Halima..Umeona Mbeya walichomfanyia sugu
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom