Dkt. Tulia Ackson alamba kura zote asilimia 100, aapishwa kuwa Spika wa Bunge

Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameshinda uchaguzi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 376 kati ya 376 zilizopigwa sawa na asilimia 100.

Hii inamaanisha na wabunge 19 wa chama cha CHADEMA waliohudhuria leo kura zao zimo kwenye jumla hiyo.

Spika Tulia Akckson ameapishwa kuwa Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimrithi mtangulizi wake aliyeng'atuka, Job Yustino Ndugai.
Nonsense...
 
Ina sahv bwana kazi ndgy atakuwa anakaa kwenye viti,kuomba maji,barabara,madawa jimboni mwake....

Ova
 
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameshinda uchaguzi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 376 kati ya 376 zilizopigwa sawa na asilimia 100.

Hii inamaanisha na wabunge 19 wa chama cha CHADEMA waliohudhuria leo kura zao zimo kwenye jumla hiyo.

Spika Tulia Akckson ameapishwa kuwa Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimrithi mtangulizi wake aliyeng'atuka, Job Yustino Ndugai.
TUMIA AKILI, CHADEMA ina mbunge mmoja tu BUNGENI, toka jimbo la NKASI, anaitwa AIDA KENANI
 
Hakuna wabunge wa Chadema ktk hilo wanaloita bunge wote waliomo humo ni ccm na hawakuchaguliwa na wananchi ila walipelekwa humo kwa nguvu na dikteta Magufuli. That's all.
 
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameshinda uchaguzi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 376 kati ya 376 zilizopigwa sawa na asilimia 100.

Hii inamaanisha na wabunge 19 wa chama cha CHADEMA waliohudhuria leo kura zao zimo kwenye jumla hiyo.

Spika Tulia Akckson ameapishwa kuwa Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimrithi mtangulizi wake aliyeng'atuka, Job Yustino Ndugai.
Mbatia na Ndugu yai wanasemaje
 
Uongo jamani. Jana mi nilimchagua mwingine lakini nashanga kura yangu imejumuishwa kwenye kura za Tulia Ackson ili kufikisha idadi eti amepita kwa kishindo na wabunge wote.

Jamani CCM muogopeni Mungu. Mi sijampigia kabisa humu bungeni na wengine rafiki zangu wanne hawajampigia. Duh hii kali
 
Uongo jamani. Jana mi nilimchagu mwingine lakini nashanga kura yangu imejumuishwa kwenye kura za tulia aksoni ili kufikisha idadi eti amepita kwa kishindo na wabunge woge.

Jamani ccm muogopeni mungu. Mi sijampigia kabisa humu bungeni na wengine rafiki zangu wanne hawajampigia. Duh hii kali
Taja jina na nafasi unayoketi pale Bungeni tukaangalie kama kweli hukumpigia!
 
Kura 100% bado wabunge/bunge lina udhaifu.
Sio bunge lenye udhaifu bali vyama vya upinzani vyenye wabunge ndio dhaifu. Hawa ndio walishindwa kusimamisha mgombea wao
Wameshindwa hata kuelekeza wabunge wao kutoka nje
Au kuharibu kura zao
Au kupiga kura za kumkataa kama utaratibu unaruhusu
Kumbe Chadema Act na Cuf ni vyama dhaifu sana
 
Hii inafaa kuingia kwenye Guiness book of records
Hakukuwa na mtoro hata mmoja
Hakukuwa na mwenye udhuru hata mmoja
 
Sio bunge lenye udhaifu bali vyama vya upinzani vyenye wabunge ndio dhaifu. Hawa ndio walishindwa kusimamisha mgombea wao
Wameshindwa hata kuelekeza wabunge wao kutoka nje
Au kuharibu kura zao
Au kupiga kura za kumkataa kama utaratibu unaruhusu
Kumbe Chadema Act na Cuf ni vyama dhaifu sana
Ccm ni chama dhaifu zaidi.
 
Back
Top Bottom