Dkt. Tax ateta na Mabalozi wa Italia na Umoja wa Ulaya Nchini

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,988
464dd8b4-1e1e-481a-b9f9-a572beec004e.jpg


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Italia nchini, Mhe. Marco Lombardi pamoja na Balozi wa Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) nchini, Mhe. Manfredo Fanti katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.

Pamoja na mambo mengine, viongozi hao wamejadili masuala mbalimbali ya ushirikiano katika sekta mbalimbali hususan za Biashara na Uwekezaji, elimu, afya, utalii, nishati, mitindo, utamaduni, uchumi wa buluu, mifugo na uvuvi.

ece740b1-5354-4fdb-90e6-0a212b7b7082.jpg

28b81331-bce8-44e2-8ad8-94feba70721b.jpg

71294fbf-0858-4475-8112-7587cc9147db.jpg
 
Back
Top Bottom