Dkt. Slaa: Freeman Mbowe aachane na Maridhiano maana hayafai, Katiba sio mali yake binafsi au mali ya Rais Samia

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Jan 29, 2021
573
2,553
Akihojiwa na East Africa Radio asubuhi hii Aprili 20, 2023, Dkt Slaa amesema akipata nafasi ya kukutana na mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe atamshauri aachane na maridhiano kwa kuwa hayafai.

IMG_6832.jpeg

“Nikipata nafasi ya kukutana nitamwambia kwamba fuata principle za siasa safi, simamia, kwa sababu kwa sasa unatakiwa kuwapatia watanzania katiba mpya. Maridhiano hayafai” amesema

Amesisitiza, “Maridhiano hayafai kwasababu yanakaa zaidi ya mwaka, hakuna taarifa kwa wananchi. Maridhiano si mali ya Samia na ya Mbowe. Katiba inayodaiwa ni ya watanzania. Katiba si mali ya watu wawili, wala sio ya CCM na CHADEMA, ni ya watanzania. Watanzania lazima wajue wanataka katiba ya aina gani”
Slaa.JPG
Dkt Slaa amesema amemsikia mara kadhaa Rais Samia akisema kuwa wataangalia katiba ya mwaka 1977 kwa kuwa Rasimu ya Warioba imepitwa na wakati, yeye anasema haya ni makosa makubwa sana.

“Someni preamble pale kwenye katiba mwanzoni imeandikwa nini, imeandikwa sisi watanzania tumeamua, kwenye katiba”

Kuhusu kusubiria uteuzi, amesema kwa umri wake hasubirii tena fursa hiyo, pia amemsfia Freeman Mbowe kuwa mwanasiasa mzuri, mkonge na mpambanaji wa siku nyingi.


Chanzo: East Africa Radio
 
Akihojiwa na East Africa Radio asubuhi hii Aprili 20, 2023, Dkt Slaa amesema akipata nafasi ya kukutana na mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe atamshauri aachane na maridhiano kwa kuwa hayafai.


“Nikipata nafasi ya kukutana nitamwambia kwamba fuata principle za siasa safi, simamia, kwa sababu kwa sasa unatakiwa kuwapatia watanzania katiba mpya. Maridhiano hayafai” amesema

Amesisitiza, “Maridhiano hayafai kwasababu yanakaa zaidi ya mwaka, hakuna taarifa kwa wananchi. Maridhiano si mali ya Samia na ya Mbowe. Katiba inayodaiwa ni ya watanzania. Katiba si mali ya watu wawili, wala sio ya CCM na CHADEMA, ni ya watanzania. Watanzania lazima wajue wanataka katiba ya aina gani”

Dkt Slaa amesema amemsikia mara kadhaa Rais Samia akisema kuwa wataangalia katiba ya mwaka 1977 kwa kuwa Rasimu ya Warioba imepitwa na wakati, yeye anasema haya ni makosa makubwa sana.

“Someni preamble pale kwenye katiba mwanzoni imeandikwa nini, imeandikwa sisi watanzania tumeamua, kwenye katiba”

Kuhusu kusubiria uteuzi, amesema kwa umri wake hasubirii tena fursa hiyo, pia amemsfia Freeman Mbowe kuwa mwanasiasa mzuri, mkonge na mpambanaji wa siku nyingi.
Na Mimi naongezea kwamba, chama chochote Cha siasa kiachane na harakati za kutafuta katiba ya wananchi, kwani katiba ya wananchi itatafutwa na wananchi wasio na mlengo wowote wa kisiasa, ili iweze kusimamia vyama vyote, vya kisiasa. Labda chadema itapendeza wakisimama kutafuta katiba ya chama Chao sio katiba ya wananchi.
 
Maridhiano yana maana sana, muhimu muda uwepo wa kuridhiana kufanya yale ya msingi waliyokubaliana kwa maslahi ya taifa na kwa wakati, mfano Katiba Mpya, kwasababu kule tulipotoka taifa lilihitaji maridhiano, watu walikufa, walitekwa, we needed to sit down and talk as a nation.

Tatizo ninaloliona kwenye haya maridhiano yetu, ni kwasababu mmoja anaonekana kama boss, huku mwingine akigeuzwa kuwa servant, hapo ndipo chanzo cha matatizo yetu kinapoanzia.

Boss anaweza kujichelewesha kufanya yaliyo na umuhimu kama Katiba Mpya kwa makusudi, ili kulinda maslahi yake, bahati mbaya yule servant wakati akiendelea kumsubiri boss afanye walivyokubaliana, nae anaonekana mlamba asali kwa sababu ya ukimya.

Samia alishatuambia ataanzisha mchakato wa Katiba Mpya, lakini iweje mpaka leo baada ya miezi kadhaa kupita bado yupo kimya?! Hapa ndipo uzito wa kauli ya Dr. Slaa unapopata nafasi.
 
Hakuna mtu kamzuia Slaa kutafuta katiba mpya, Kama Mbowe anatafuta na mariziano, yeye atafute ya ugomvi, hakuna kupangiana, kila mtu na department yake.
Yupi yule barbaig aliyemsifia muuaji yule na kumtetea ili aendelee kuula ubalozi. Kwamba TAL alishambuliwa na CDM.
Slaa hana moral authority ya kupambania demokrasia! Huyu padre bado laana ya kanisa inamtafuta! CDM msije mkalogwa mkamwamini huyu mult-standards hypocrite. Hivi Canada alimpeleka nani? Na yule Delila yupo au waswedish wameshasepa nae!
 
Akihojiwa na East Africa Radio asubuhi hii Aprili 20, 2023, Dkt Slaa amesema akipata nafasi ya kukutana na mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe atamshauri aachane na maridhiano kwa kuwa hayafai.


“Nikipata nafasi ya kukutana nitamwambia kwamba fuata principle za siasa safi, simamia, kwa sababu kwa sasa unatakiwa kuwapatia watanzania katiba mpya. Maridhiano hayafai” amesema

Amesisitiza, “Maridhiano hayafai kwasababu yanakaa zaidi ya mwaka, hakuna taarifa kwa wananchi. Maridhiano si mali ya Samia na ya Mbowe. Katiba inayodaiwa ni ya watanzania. Katiba si mali ya watu wawili, wala sio ya CCM na CHADEMA, ni ya watanzania. Watanzania lazima wajue wanataka katiba ya aina gani”

Dkt Slaa amesema amemsikia mara kadhaa Rais Samia akisema kuwa wataangalia katiba ya mwaka 1977 kwa kuwa Rasimu ya Warioba imepitwa na wakati, yeye anasema haya ni makosa makubwa sana.

“Someni preamble pale kwenye katiba mwanzoni imeandikwa nini, imeandikwa sisi watanzania tumeamua, kwenye katiba”

Kuhusu kusubiria uteuzi, amesema kwa umri wake hasubirii tena fursa hiyo, pia amemsfia Freeman Mbowe kuwa mwanasiasa mzuri, mkonge na mpambanaji wa siku nyingi.
econonist zitto junior JokaKuu Tindo idawa MTAZAMO Pascal Mayalla ...nadhani ni wakati muafaka wa Chadema kumrudisha kundini Mzee Slaa asaidie kudai katiba kwa niaba ya Cdm na raia maana Mbowe hamna imani naye.
 
Akihojiwa na East Africa Radio asubuhi hii Aprili 20, 2023, Dkt Slaa amesema akipata nafasi ya kukutana na mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe atamshauri aachane na maridhiano kwa kuwa hayafai.


“Nikipata nafasi ya kukutana nitamwambia kwamba fuata principle za siasa safi, simamia, kwa sababu kwa sasa unatakiwa kuwapatia watanzania katiba mpya. Maridhiano hayafai” amesema

Amesisitiza, “Maridhiano hayafai kwasababu yanakaa zaidi ya mwaka, hakuna taarifa kwa wananchi. Maridhiano si mali ya Samia na ya Mbowe. Katiba inayodaiwa ni ya watanzania. Katiba si mali ya watu wawili, wala sio ya CCM na CHADEMA, ni ya watanzania. Watanzania lazima wajue wanataka katiba ya aina gani”

Dkt Slaa amesema amemsikia mara kadhaa Rais Samia akisema kuwa wataangalia katiba ya mwaka 1977 kwa kuwa Rasimu ya Warioba imepitwa na wakati, yeye anasema haya ni makosa makubwa sana.

“Someni preamble pale kwenye katiba mwanzoni imeandikwa nini, imeandikwa sisi watanzania tumeamua, kwenye katiba”

Kuhusu kusubiria uteuzi, amesema kwa umri wake hasubirii tena fursa hiyo, pia amemsfia Freeman Mbowe kuwa mwanasiasa mzuri, mkonge na mpambanaji wa siku nyingi.

Naunga mkono hoja Samia amutueweka hostage na Maridhiano yake. Yani Kuna mambo wanakubaliana sirini halafu sisi huku tunalazimishana kuyatii.
 
Slaa ni kielelezo na funzo kwetu kuwa makini kiwango cha fadhila unayotakiwa kumpa mtu. Slaa aliponyanyapaliwa CCM na akina Mkapa, CHADEMA alimpokea, akamuogesha kisiasa na Mbowe akamuogesha kimaisha.
Leo Slaa amegeuka kuwa mkuki kwa Mbowe, kila anapozungumza siasa lazima atafute neno la kumsema Mbowe.
 
econonist zitto junior JokaKuu Tindo idawa MTAZAMO Pascal Mayalla ...nadhani ni wakati muafaka wa Chadema kumrudisha kundini Mzee Slaa asaidie kudai katiba kwa niaba ya Cdm na raia maana Mbowe hamna imani naye.

Mbowe ametuuza mchana kucha. Mbowe astaafu amuachie hardliner chama. Mambo ya kunikomba ikulu na kupiga picha kwenye futari ni ujinga wa Hali ya juu. Atoke Mbowe atoke Mbowe. Chama kirudi kwenye misingi yake ya confrontational politics.
 
Na Mimi naongezea kwamba, chama chochote Cha siasa kiachane na harakati za kutafuta katiba ya wananchi, kwani katiba ya wananchi itatafutwa na wananchi wasio na mlengo wowote wa kisiasa, ili iweze kusimamia vyama vyote, vya kisiasa. Labda chadema itapendeza wakisimama kutafuta katiba ya chama Chao sio katiba ya wananchi.
Unazani wananchi wenyewe watatafutaje katiba kama hakuna kiongozi wowote ambae atasiamia ...

Ni sawa na kusema wanafunzi waandae mitahala ya kufundishia wao wenyewe bila waalimu..

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Mbowe ametuuza mchana kucha. Mbowe astaafu amuachie hardliner chama. Mambo ya kunikomba ikulu na kupiga picha kwenye futari ni ujinga wa Hali ya juu. Atoke Mbowe atoke Mbowe. Chama kirudi kwenye misingi yake ya confrontational politics.
Confrontational politics hazijawahi kuisaidia CDM sana sana zimewaumiza mno (Rip Mawazo, Saanane)......Mbowe apongezwe kwa hatua hii ya maridhiano angalau yataipa Chadema Uhuru wa kufanya siasa.
zitto junior
 
Akihojiwa na East Africa Radio asubuhi hii Aprili 20, 2023, Dkt Slaa amesema akipata nafasi ya kukutana na mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe atamshauri aachane na maridhiano kwa kuwa hayafai.


“Nikipata nafasi ya kukutana nitamwambia kwamba fuata principle za siasa safi, simamia, kwa sababu kwa sasa unatakiwa kuwapatia watanzania katiba mpya. Maridhiano hayafai” amesema

Amesisitiza, “Maridhiano hayafai kwasababu yanakaa zaidi ya mwaka, hakuna taarifa kwa wananchi. Maridhiano si mali ya Samia na ya Mbowe. Katiba inayodaiwa ni ya watanzania. Katiba si mali ya watu wawili, wala sio ya CCM na CHADEMA, ni ya watanzania. Watanzania lazima wajue wanataka katiba ya aina gani”

Dkt Slaa amesema amemsikia mara kadhaa Rais Samia akisema kuwa wataangalia katiba ya mwaka 1977 kwa kuwa Rasimu ya Warioba imepitwa na wakati, yeye anasema haya ni makosa makubwa sana.

“Someni preamble pale kwenye katiba mwanzoni imeandikwa nini, imeandikwa sisi watanzania tumeamua, kwenye katiba”

Kuhusu kusubiria uteuzi, amesema kwa umri wake hasubirii tena fursa hiyo, pia amemsfia Freeman Mbowe kuwa mwanasiasa mzuri, mkonge na mpambanaji wa siku nyingi.

Mbona yy hakuacha ubalozi?

Mbona yy hakukataa teuzi ili asimamie misimamo yake?

Zama zake zimepita, atulie
 
Back
Top Bottom